Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tangazo limetoka lini ,mbona halina tarehe wala saa au muda lilipochapshwa na kutolewa rasmi, inakuwa kama habari za vibarazani,mhusika afukuzwe kazi .Lini ?
Why? Leo akina Lissu wanaambiwa warudiHiyo sindano bila ganzi izame kwa nyumbu gang nyweeeeeeeeee
Wabongo mna shida sana!!! Unatumia simu gani Chief? Ok nakuwekea tena hapa chini Kiongozitangazo limetoka lini ,mbona halina tarehe wala saa au muda lilipochapshwa na kutolewa rasmi, inakuwa kama habari za vibarazani,mhusika afukuzwe kazi .
Soma tangazo, mbona linajieleza.Lini ?
🤣🤣🤣🤣Maraa paap anatangaza hazarani kujiuzulu .Kisha anelekea bandarini kupanda boti,anawaachia zigo lenu.
Miaka 60 ya UhuruKuna nini jipya tena😟
Ili achukue Makamu ambaye hata kuongea hawezi?🤣🤣🤣🤣
Ingekuwa poua mno😆😆
Huyo mvamizi (mmakunduchi) akitangaza kujiuzulu itakuwa fresh sana
Na atatangaza ukaguzi mpya wa tenda na miradi mikubwa yote iliyofanyika awamu pendwaHii ni kuelekea 9 December miaka 60 ya uhuru,Ikiwa ni pamoja na kuwakaribisha wananchi wote pale uwanja wa uhuru.
Pia atatangaza majina ya taasisi mpya ya Tathmin itakayokuwa inafuatilia miradi yote ya Serikali kujua kama pesa ambazo serikalini inapeleka ndizo gharama halisi zinazitumika?