Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
- Thread starter
- #21
Makamu Siyo MtanganyikaHuyo mvamizi (mmakunduchi) akitangaza kujiuzulu itakuwa fresh sana
Awachie watanganyika nchi yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamu Siyo MtanganyikaHuyo mvamizi (mmakunduchi) akitangaza kujiuzulu itakuwa fresh sana
Awachie watanganyika nchi yao
Hahahhaaa Dahh we jamaaa weweeeMaraa paap anatangaza hazarani kujiuzulu .Kisha anelekea bandarini kupanda boti,anawaachia zigo lenu.
Akimaliza na yeye mama wakambo ajivunje (ajiuzuru) itapendezaMama anavunja baraza la mawaziri
Kesho ni siku ya kukumbuka Uhuru wa bendera wa TanganyikaKuna nn, mbna taarifa ya ghafla Kama msiba??
Aache kushobokea uhuru wa TanganyikaHii ni kuelekea 9 December miaka 60 ya uhuru,Ikiwa ni pamoja na kuwakaribisha wananchi wote pale uwanja wa uhuru.
Pia atatangaza majina ya taasisi mpya ya Tathmin itakayokuwa inafuatilia miradi yote ya Serikali kujua kama pesa ambazo serikalini inapeleka ndizo gharama halisi zinazitumika?
nahisi kuna TOZO MPYA KADHAA to be introduced
Huyo mkoloni kutoka visiwani aache kuwachora watanganyika, hilo swala awachie wenye nchi yao watanganyikaMiaka 60 ya Uhuru kuonesha wapi tunetoka, tupo na tunaelekea wapi
Huyo mkoloni kutoka visiwani aache kuwachora watanganyika, hilo swala awachie wenye nchi yao watanganyika
Haituusu Kama kipenzi Chetu Mbowe yupo ndani sitafatilia
TupingeSahau hilo tupo na mama mpaka 2030
Acha mambo ya kitoto hapa.Huyo mvamizi (mmakunduchi) akitangaza kujiuzulu itakuwa fresh sana
Awachie watanganyika nchi yao
Hahaha, yaani kesho siku ya kukumbuka Uhuru wa miaka 60 halafu amtumbue IGP usiku wake? itakuwa rekodi mpya hiyoTuna taka kusikia Siro hana kazi na Mbowe yuko huru
Ili achukue Makamu ambaye hata kuongea hawezi?
Chief wengine watafuatiliaHaituusu Kama kipenzi Chetu Mbowe yupo ndani sitafatilia