Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Haya ni maneno ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika ziara yake huko Kenya.Haya maneno yamenishtua sana na kunifanya nijiulize maswali lukuki.
Ni nani huyo mtu ambae aliweka vikwazo vya Kufanya biashara Tanzania hadi ihitajike 'Suluhu'? Wananchi wa Tanzania walimchukulia hatua gani mtu huyu?Alipata wapi nguvu na ujasiri wa kufanya yote haya?Sheria za Tanzania pamoja na utamaduni wa Tanzania viliruhusu vipi mtu huyo kufanya ujinga wote huu?
Ni nani huyo mtu ambae aliweka vikwazo vya Kufanya biashara Tanzania hadi ihitajike 'Suluhu'? Wananchi wa Tanzania walimchukulia hatua gani mtu huyu?Alipata wapi nguvu na ujasiri wa kufanya yote haya?Sheria za Tanzania pamoja na utamaduni wa Tanzania viliruhusu vipi mtu huyo kufanya ujinga wote huu?