Rais Samia Suluhu hili la Scheme of Service nalo linasubiri huruma yako!

Rais Samia Suluhu hili la Scheme of Service nalo linasubiri huruma yako!

Abraham Moshi

Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
20
Reaction score
8
Ni kuhusu maelekezo yaliyotoka Serikalini tarehe 08 Februari,2021 kuidhinishwa Muundo mpya wa maendeleo ya Utumishi (Scheme of Service) Ulioanza kutumika terehe 01 Machi 2021) kwa baadhi ya taasisi za Umma.

Kutokana na mabadiliko ya Muundo huo imeonekana kuwa, Mishahara ya watumishi hao ni mikubwa kuliko mishahara iliyopo katika Muundo mpya wa watumishi wa umma.

Ili waendelee kulipwa mishahara hiyo wanayolipwa sasa, Wakuu wa baadhi ya taasisi za Umma waliamua kuwaombea kibali cha mishahara binafsi Serikalini watumishi hao watakao athilika na muundo huo mpya.

Aidha kulingana na Muundo huo mpya Madaraja ya viwango vya mishahara yalipunguzwa kutoka ngazi 9 hadi kufikia ngazi 5 pia vyeo vya watumishi hao vilibadilishwa ili kuendana na Muundo huo kandamizi usio na tija.

Athari zinazotokana na Muundo huu, wafanyakazi ambao wapo katika kundi hili hawataweza kupanda vyeo tena (Promotion), wala nyongeza ya mshahara, Jambo hili limewaathiri sana kisaikolojia.

Tunaomba ufumbuzi wa jambo hili haki itendeke kwa maslahi ya watumishi wa umma na Taifa kwa ujumla, kwa kuwa watumishi hao wengi wao ni waajiriwa wa chini ya mwaka 2004 walipanda madaraja yao kihalali tokana na juhudi zao na utumishi wao wa muda mrefu hadi walipofikia sasa.

Jambo la kushangaza na kusikitisha iweje watumishi hao wahukumiwe na mabadiliko ya Muundo mpya unao sababisha wapoteze haki zao za msingi za kupanda vyeo na nyongeza za mishahara? Tunaomba Muundo mpya uzingatie haki za watumishi hao waliolitumikia Taifa hili kwa muda mrefu na kwa uadilifu mkubwa.
 
Niombe niulize, ni kigezo gani kimetumika kuwafanya hao wengine (ambao umegusia hapa) wasipande vyeo wala kuongezewa mishahara? Na je ni kundi lipi hilo, maana hujalitaja.
 
Nashauri muachie ngazi mkajiajiri

Toka 2004 unapokea mshahara mpka 2022
unapiga kelele kuona aliyekuajiri kafanya mabadiliko.

Namuomba muajiri ashikilie hapo hapo ili iwe fundisho na kwa wengine wanaopokea mishahara mikubwa na kusahu kufanya yao, kazi kuponda raha tu bar na kununua magari.

Ninao wengi wa aina yako wengine ni ndugu wa dumu kabisa walitamba sana miaka hiyo naona sasa wameanza kulia lia hovyo aise ni kutesa kwa zamu

Hebu kaeni kwa kutulia dawa iwaingie vizuri

Jinga sana mshahara M5 mpka M9 miaka kumi na saba mpka nane unakuja kulia jukwaani hapa
Hujajipanga na mabadiliko useless kabisa.





Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
 
Nashauri muachie ngazi mkajiajiri

Toka 2004 unapokea mshahara mpka 2022
unapiga kelele kuona aliyekuajiri kafanya mabadiliko.

Namuomba muajiri ashikilie hapo hapo ili iwe fundisho na kwa wengine wanaopokea mishahara mikubwa na kusahu kufanya yao, kazi kuponda raha tu bar na kununua magari.

Ninao wengi wa aina yako wengine ni ndugu wa dumu kabisa walitamba sana miaka hiyo naona sasa wameanza kulia lia hovyo aise ni kutesa kwa zamu

Hebu kaeni kwa kutulia dawa iwaingie vizuri

Jinga sana mshahara M5 mpka M9 miaka kumi na saba mpka nane unakuja kulia jukwaani hapa
Hujajipanga na mabadiliko useless kabisa.





Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hakuna sababu ya kutoa povu kwenye hili, ila ushauri wako ni mzuri.
 
Ni kuhusu maelekezo yaliyotoka Serikalini tarehe 08 Februari,2021 kuidhinishwa Muundo mpya wa maendeleo ya Utumishi (Scheme of Service) Ulioanza kutumika terehe 01 Machi 2021) kwa baadhi ya taasisi za Umma.

Kutokana na mabadiliko ya Muundo huo imeonekana kuwa, Mishahara ya watumishi hao ni mikubwa kuliko mishahara iliyopo katika Muundo mpya wa watumishi wa umma.

Ili waendelee kulipwa mishahara hiyo wanayolipwa sasa, Wakuu wa baadhi ya taasisi za Umma waliamua kuwaombea kibali cha mishahara binafsi Serikalini watumishi hao watakao athilika na muundo huo mpya.

Aidha kulingana na Muundo huo mpya Madaraja ya viwango vya mishahara yalipunguzwa kutoka ngazi 9 hadi kufikia ngazi 5 pia vyeo vya watumishi hao vilibadilishwa ili kuendana na Muundo huo kandamizi usio na tija.

Athari zinazotokana na Muundo huu, wafanyakazi ambao wapo katika kundi hili hawataweza kupanda vyeo tena (Promotion), wala nyongeza ya mshahara, Jambo hili limewaathiri sana kisaikolojia.

Tunaomba ufumbuzi wa jambo hili haki itendeke kwa maslahi ya watumishi wa umma na Taifa kwa ujumla, kwa kuwa watumishi hao wengi wao ni waajiriwa wa chini ya mwaka 2004 walipanda madaraja yao kihalali tokana na juhudi zao na utumishi wao wa muda mrefu hadi walipofikia sasa.

Jambo la kushangaza na kusikitisha iweje watumishi hao wahukumiwe na mabadiliko ya Muundo mpya unao sababisha wapoteze haki zao za msingi za kupanda vyeo na nyongeza za mishahara? Tunaomba Muundo mpya uzingatie haki za watumishi hao waliolitumikia Taifa hili kwa muda mrefu na kwa uadilifu mkubwa.
Unaweza kukuta TUCTA hawana habari na hili, wao kula posho tu michango ya watumishi....
 
Ni kuhusu maelekezo yaliyotoka Serikalini tarehe 08 Februari,2021 kuidhinishwa Muundo mpya wa maendeleo ya Utumishi (Scheme of Service) Ulioanza kutumika terehe 01 Machi 2021) kwa baadhi ya taasisi za Umma.

Kutokana na mabadiliko ya Muundo huo imeonekana kuwa, Mishahara ya watumishi hao ni mikubwa kuliko mishahara iliyopo katika Muundo mpya wa watumishi wa umma.

Ili waendelee kulipwa mishahara hiyo wanayolipwa sasa, Wakuu wa baadhi ya taasisi za Umma waliamua kuwaombea kibali cha mishahara binafsi Serikalini watumishi hao watakao athilika na muundo huo mpya.

Aidha kulingana na Muundo huo mpya Madaraja ya viwango vya mishahara yalipunguzwa kutoka ngazi 9 hadi kufikia ngazi 5 pia vyeo vya watumishi hao vilibadilishwa ili kuendana na Muundo huo kandamizi usio na tija.

Athari zinazotokana na Muundo huu, wafanyakazi ambao wapo katika kundi hili hawataweza kupanda vyeo tena (Promotion), wala nyongeza ya mshahara, Jambo hili limewaathiri sana kisaikolojia.

Tunaomba ufumbuzi wa jambo hili haki itendeke kwa maslahi ya watumishi wa umma na Taifa kwa ujumla, kwa kuwa watumishi hao wengi wao ni waajiriwa wa chini ya mwaka 2004 walipanda madaraja yao kihalali tokana na juhudi zao na utumishi wao wa muda mrefu hadi walipofikia sasa.

Jambo la kushangaza na kusikitisha iweje watumishi hao wahukumiwe na mabadiliko ya Muundo mpya unao sababisha wapoteze haki zao za msingi za kupanda vyeo na nyongeza za mishahara? Tunaomba Muundo mpya uzingatie haki za watumishi hao waliolitumikia Taifa hili kwa muda mrefu na kwa uadilifu mkubwa.

Mkuu kwanza hongera kwa bandiko zuri,
Lakini Hebu fafanua,

1.Ninavyojua Kila Taasisi Huwa na Muundo wake…Yaani Scheme of service kulingana na Kada mbalimbali zilizopo katika Taasisi husika!
Kuna Taasisi nyingine kuna Engineers wengii wa fani mbalimbali,wengine kuna Wahasibu wengii nk nk.

2.Pia Katika Scheme of service hakuna Mshahara humo,Kinachoandikwa ktk scheme ni Muundo wa madaraja tuu na sio Mishahara!
Naomba ufafanuzi hapa Mkuu
Au Hii scheme ingekuwepo hapa tungeweza jadili zaidi!

3.Au Kama Ungeandika baadhi ya Kada ktk muundo huo wa Utumishi hapa tungeelewana labda!
3.Au unasemea Serikali kuandaa muundo wa Mishahara (Salary structure?)ambao hauwezi kufanana kwa Taasisi zake kulingana na Kazi husika,Fani,nk
 
Nashauri muachie ngazi mkajiajiri

Toka 2004 unapokea mshahara mpka 2022
unapiga kelele kuona aliyekuajiri kafanya mabadiliko.

Namuomba muajiri ashikilie hapo hapo ili iwe fundisho na kwa wengine wanaopokea mishahara mikubwa na kusahu kufanya yao, kazi kuponda raha tu bar na kununua magari.

Ninao wengi wa aina yako wengine ni ndugu wa dumu kabisa walitamba sana miaka hiyo naona sasa wameanza kulia lia hovyo aise ni kutesa kwa zamu

Hebu kaeni kwa kutulia dawa iwaingie vizuri

Jinga sana mshahara M5 mpka M9 miaka kumi na saba mpka nane unakuja kulia jukwaani hapa
Hujajipanga na mabadiliko useless kabisa.





Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
Acha wivu boss hauta pata alichopungukiwa yeye ndyo maana hamsaidiwi sababu ya husda zenu
 
Fisadi🐒🐒🐒
 
watumishi wa umma wa bongo miaka saba sasa hakuna mshahara hata mia kuongezeka, no increments no nothing na bado wanasifiana tu kuupiga mwingi yanmi kwa ufupi hali ni tete sana , wanajikaza kisabuni tu. Mungu awasaidie sana maana wana hali ngumu sana sana
 
watumishi wa umma wa bongo miaka saba sasa hakuna mshahara hata mia kuongezeka, no increments no nothing na bado wanasifiana tu kuupiga mwingi yanmi kwa ufupi hali ni tete sana , wanajikaza kisabuni tu. Mungu awasaidie sana maana wana hali ngumu sana sana
 
Back
Top Bottom