Rais Samia Suluhu kumshukuru kwa ishara mhudumu wa Air Tanzania ni ishara ya Utumishi unaoheshimu wadogo na wakubwa

Hakuna lolote nyinyi nyumbu wafuata upepo mnajua kwa sasa Saccos ya Chadema hailipi sasa mnajipendekeza kwa CCM tu kupitia Mama Samia.

Pitia popote kwenye post zangu uone kama kuba hata moja yenye kujipendekeza. Hapa watu tunaweka ukweli kuwa jiwe alikuwa ibilisi, huku huyu mama akijitenga na udhalimu wake fullstop.
 
Pitia popote kwenye post zangu uone kama kuba hata moja yenye kujipendekeza. Hapa watu tunaweka ukweli kuwa jiwe alikuwa ibilisi, huku huyu mama akijitenga na udhalimu wake fullstop.
Kwahiyo umehama saccos ya Chadema mkuu?
 
Kwahiyo umehama saccos ya Chadema mkuu?
Sijawahi kujipendekeza na ccm maisha yangu yote, na sintokaa. Hapa tunatoa mahesabu ya ibilisi Mkuu aliyewahi kutokea kwenye nchi hii.
 
Sijawahi kujipendekeza na ccm maisha yangu yote, na sintokaa. Hapa tunatoa mahesabu ya ibilisi Mkuu aliyewahi kutokea kwenye nchi hii.
Unapojipendekeza kwa Rais Mama Samia huoni huyo ni kiongozi wa CCM au unafikiri anatoka CDM??!
 
Unapojipendekeza kwa Rais Mama Samia huoni huyo ni kiongozi wa CCM au unafikiri anatoka CDM??!
Amekalia kiti cha urais wa nchi, hapa hatuongelei mwenyekiti wa ccm. Na zaidi hapa sio uccm wake, bali kujitenga na tabia za yule shetani.
 
V8 200 piga mahesabu ya mafuta dar to dodoma
 
Huyo mfanyakazi wa ATCL anaweza kuwa mtoto au ndugu wa Rais au wa Kiongozi mwenzake maana mtoto wa mfanyakazi au wa mkulima kupata kazi ya kwenye ndege ni vigumu sana bila godfather.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…