Rais Samia Suluhu, tumia ziara yako nchini Kenya kuomba radhi kwa kuchomwa vifaranga na awamu iliyopita nchini mwako

Tunashauriwa tutumie' akili zaidi kuliko maguvu' katika mambo yetu mengi tunayojaribu kufanya, ili kuleta ufanisi wa kudumu, kwa mambo mengi tunayofanya....kazi iendelee.
Tutatumia akili inapobidi, na Tutatumia nguvu inapobidi, hatuwezi cheka na watu wanaocheza na usalama wa mifugo yetu, tutawatia maumivu hawatokaa wasahau, na siku nyingine watafata utaratibu watake au wasitake
 
Tutatumia akili inapobidi, na Tutatumia nguvu inapobidi, hatuwezi cheka na watu wanaocheza na usalama wa mifugo yetu, tutawatia maumivu hawatokaa wasahau, na siku nyingine watafata utaratibu watake au wasitake
Hivi vifaranga wale kama wangerudishwa walikotoka mngepungukiwa na nini ?
 
Eti magufuli mwamba wa mageuzi,, "" uyo mungu wenu wa kisukuma alikuwa ana roho ya kishetani,,imeharibu image ya nchi kimataifa, tangu afe yeye wananchi sasa wana amani kwenye mioyo yao,wafanyakazi pia wana amani aswaa, watu walikuwa wanaishi kwa hofu kipindi cha mjaa laana,mwenye pepo la kupenda damu
 
Hapo juu, mtoa mada anazungumzia vifaranga wa Kuku waliochomwa moto huko Namanga, enzi za mwanakwendazake! Sasa hili la Mbowe na vijana wake wanao mtetea mtandaoni, Kwanini usilianzishie mahali pake lijadiliwe?!
Wakati ukifanya hivyo kumbuka kwamba jana kuna watu humu walimtaja mwanakwendazake na Bashite, ukasema wana mimba za hao ‘vidume’! Kwa muktadha huo, Unaweza kuwa na ya Mbowe pia??!!
 
ulichoma vifaraga jana, leo Wewe unaogelea kwenye ziwa la moto, milele!
 
CCM hio laana haiwaondoki hadi wanaingia makaburini na hakuna watakalolifanya likaleta tija kwa Taifa hili,CCM ni watu wabaya sana,
 
Hivi vifaranga wale kama wangerudishwa walikotoka mngepungukiwa na nini ?
Tungeendelea kulea uhalifu, kwa taarifa yako Tulianza kuchoma vifaranga 6400, wakafikiri tunatania, wakaleta tena vifaranga 5000, tukachoma tena, adabu ikawapata wakaanza kufata utaratibu , ukicheka na Mbwa utaingia nae msikitini
 
kwa sauti ya NAPE
 
Ilitakiwa virudishwe kwao tuu Kama vibali hakuna au alievileta ndio ahukumiwe sio vifaranga kuvichoma vile ni unyama na ukatili kwa viumbe wa kiwango cha juu mno hizi Nchi zinategemeana huwezi kumchukia jirani yako kiasi hicho.
Sheria haiko hivyo ingekuwa hivyo hata mwizi akiiba akikitwa na kitu alichooiiba alitakiwa apokonywe then wamuache ateembe zake but sheria haiko hivyo ukikosea unafungwa
 
Kuna watanzania wajinga sana

Kenya wamefanya mabaya mangapi?

Mbunge wao alisema wafanya biashara wa tanzania sokoni wapigwe


Vipi hii acheni Ujinga

Airport Kenya tax dreva wa tz walikuwa wanakatazwa

Nani amewahi omba msamaha Kwetu?

Mtu akitimiza wajibu wake asionekane mhaini
 
Uko nje ya mada. Anzisha uzi unaomhusu Mhe. Mbowe tutakuelewa. Mleta uzi anazungumuzia fedheha inayotokana na kuchoma vifaranga na siyo CHADEMA na Mbowe.
 
Sheria haiko hivyo ingekuwa hivyo hata mwizi akiiba akikitwa na kitu alichooiiba alitakiwa apokonywe then wamuache ateembe zake but sheria haiko hivyo ukikosea unafungwa
Nendeni kwenye sheria tushaanza kupeleka chakula huko ambacho mwanzoni kilikua kinatoka kwa ujanja ujanja...
 
Hizi ni porojo kama porojo nyingine , hivi ndivyo tunavyowashughulikia watu wanaoleta mchezo kwenye nchi za watu
Labda useme “hivi ndivyo tulivyokuwa tunawashughulikia watu walioleta mchezo kwenye nchi za watu!” Kumbuka zama zimebadilika!
 
Bora Mama kaona ulikua ujinga nimepata taarifa magari yaharuhusiwa kupita Kenya kupeleka mazao Sudani kusini Kama mwanzo ninyi wengine hamjui kitu chochote kinachoendelea mpo tuu hapo na mkiambiwa wanyonge mnafurahia.
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya
 
Yaani serikali ya kenya wakosee halafu waombwe msamaha, wangethibiti hayo magendo ya vifaranga huko mipakani mwao vingefikaje bongo, ningekuelewa kama watetezi wa haki za wanyama ndo wangeombwa msamaha siyo hao manyang'au...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…