Rais Samia Suluhu umenena vyema tuweke tofauti na chuki kando, Je waliopoteza ndugu zao na waliojeruhiwa unawasaidia vipi? Ulipaswa kusema neno

Rais Samia Suluhu umenena vyema tuweke tofauti na chuki kando, Je waliopoteza ndugu zao na waliojeruhiwa unawasaidia vipi? Ulipaswa kusema neno

Automatically Mama anaenda kuwa TV huku remote ikiwa Msoga. Kundi la kina JK ndiyo mtu wao huyu, nina uhakika tunarudi kwenye enzi za Vasco Dagama kwa namna mpya kabisa.

Akiingia kwenye huo mtego wa mkwere ajue tu atakuwa Rais wa kumalizia hii term ya Jiwe; asahau kupata tena zaidi ya hapo! Asyesikia la mkuu!!
 
Hakuna mwenye afadhali hapo kati ya hao!! Nchi hii ina watu wenye uwezo mkubwa sana wa kuweza kumsaidia mama Samia kazi yake kuwa rahisi ,mmoja wao ni huyo waziri wa usafirishaji. Dr. Chamliho:

Huyu kwanza hana makundi, mtendaji mahiri na msomi pia, muadilifu na sio ambitious kwamba anaweza kumyumbisha boss wake!! NCHIMBI ni nyoka ambae anaweza kumyumbisha mama Samia kwa malengo yake na genge lake ya kisiasa ya muda mfupi na mrefu pia.

Lukuvi hafai kwasababu hana upeo na ni mnafiki sana.
Kimsingi huwa simwamini fisiemu yeyote awaye!! Wengi wanaishi kwa maslahi yao kama si kufuata mdundo ama uelekeo wa upepo.
#Katiba mpya
 
Back
Top Bottom