Rais Samia Suluhu umenena vyema tuweke tofauti na chuki kando, Je waliopoteza ndugu zao na waliojeruhiwa unawasaidia vipi? Ulipaswa kusema neno

Automatically Mama anaenda kuwa TV huku remote ikiwa Msoga. Kundi la kina JK ndiyo mtu wao huyu, nina uhakika tunarudi kwenye enzi za Vasco Dagama kwa namna mpya kabisa.

Akiingia kwenye huo mtego wa mkwere ajue tu atakuwa Rais wa kumalizia hii term ya Jiwe; asahau kupata tena zaidi ya hapo! Asyesikia la mkuu!!
 
Kimsingi huwa simwamini fisiemu yeyote awaye!! Wengi wanaishi kwa maslahi yao kama si kufuata mdundo ama uelekeo wa upepo.
#Katiba mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…