johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Samia amesema suluhu ya Tatizo la umeme itapatikana April 2024 baada ya Bwawa la Mwalimu Nyerere kuzalisha umeme wa Megawatt.470-500
Mambo mazuri yanakuja tuwe na subira
---
Rais Samia Suluhu Hassan amesema tatizo la upungufu wa umeme litakwenda kupata suluhu yake mwezi April mwaka huu wa 2024 baada ya megawati 470 hadi 500 zitazozalishwa katika Bwawa la Mwalimu Nyerere kuingizwa kwenye gridi ya Taifa.
Akiongea na Watanzania waishio Ughaibuni akiwa Nchini Italy kwenye ziara aliyoifanya hivi karibuni, Rais Samia amenukuliwa akisema “kuhusu sababu za upungufu wa umeme ni kwasababu kwa muda mrefu mitambo yetu ya umeme haikuwa imefanyiwa ukarabati na pili uwekezaji na matumizi ya umeme majumbani umezidi mno, tumefanya mradi wa kusambaza umeme Vijijini huko na Vitongoji, sasa matumizi ya umeme yamezidi kukua lakini vyanzo ni vilevile hatujaongeza, tumeongeza vyanzo kidogo pale kinyerezi kwa umeme wa gesi lakini uwekezaji nao ni mkubwa mno”
“Sasa tatizo hili linakwenda kupata suluhu yake, sio Suluhu Mimi ni suluhu ya umeme nadhani April mwaka huu kwasababu kwenye lile Bwawa ambalo tungetarajia lingezalisha megawati 2115 tunakwenda kuzalisha megawati kama 500 au 470 April, lile Bwawa litaendeshwa na mota 9, tunakwenda kuwasha mbili, April mbili zitawaka na kila moja inakwenda kutoka megawati kama 250 na zaidi kwahiyo tunategemea megawati 470 mpaka 500 zitakwenda kuingia kwenye gridi ya Taifa na kupunguza changamoto ya umeme, kwahiyo kwenye umeme suluhisho linakwenda kupatikana”
Source: Millard Ayo
PIA SOMA
TUHUMA ZA UFISADI NA HUJUMA
HISTORIA
Mambo mazuri yanakuja tuwe na subira
---
Akiongea na Watanzania waishio Ughaibuni akiwa Nchini Italy kwenye ziara aliyoifanya hivi karibuni, Rais Samia amenukuliwa akisema “kuhusu sababu za upungufu wa umeme ni kwasababu kwa muda mrefu mitambo yetu ya umeme haikuwa imefanyiwa ukarabati na pili uwekezaji na matumizi ya umeme majumbani umezidi mno, tumefanya mradi wa kusambaza umeme Vijijini huko na Vitongoji, sasa matumizi ya umeme yamezidi kukua lakini vyanzo ni vilevile hatujaongeza, tumeongeza vyanzo kidogo pale kinyerezi kwa umeme wa gesi lakini uwekezaji nao ni mkubwa mno”
“Sasa tatizo hili linakwenda kupata suluhu yake, sio Suluhu Mimi ni suluhu ya umeme nadhani April mwaka huu kwasababu kwenye lile Bwawa ambalo tungetarajia lingezalisha megawati 2115 tunakwenda kuzalisha megawati kama 500 au 470 April, lile Bwawa litaendeshwa na mota 9, tunakwenda kuwasha mbili, April mbili zitawaka na kila moja inakwenda kutoka megawati kama 250 na zaidi kwahiyo tunategemea megawati 470 mpaka 500 zitakwenda kuingia kwenye gridi ya Taifa na kupunguza changamoto ya umeme, kwahiyo kwenye umeme suluhisho linakwenda kupatikana”
Source: Millard Ayo
PIA SOMA
- Arab Contractors na Elsewedy Electric Kukabidhiwa Rasmi Eneo la Rufiji (PHPP) Kesho
- Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji
- Serikali Yakabidhi Eneo La Mradi Wa Umeme Wa Maji Mto Rufiji Kwa Mkandarasi Tayari Kwa Kazi Kuanza
- Rais Magufuli kuzindua mradi wa umeme Mto Rufiji Julai 26, 2019
- SADC yamuunga mkono Rais Dkt Magufuli ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme Rufiji
- Uzinduzi Mradi wa Umeme, mto Rufiji: Rais Magufuli aagiza sehemu ya Selous kuwa Hifadhi ya Taifa
- Mbunge Sospiere Mukweli ameniogopesha kwa kauli yake kuhusu ujenzi wa bwawa la Rufiji; je, kuna haja ya wabunge wote kupimwa akili?
- Mradi wa Kufua Umeme Rufiji (MW 2115) uchimbaji kina cha lango la kuingilia maji kwenye mitambo wakamilika
- Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje
- Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema Serikali itaendelea kutoa fedha kwa ajili ya mradi wa umeme wa mto Rufiji
- Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere Hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda
- Waziri Makamba: Ujenzi wa tuta kwenye bwawa la mwl Nyerere umekamilika
- Maji katika bwawa la Nyerere kuanza kujazwa 15/11/2021 na 13/04/2022 litakuwa limejaa tayari kwa majaribio
- PM Majaliwa: Bwawa la umeme kukamilika Juni 2022
- Tanesco:- Bwawa la Nyerere litakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme Megawati 2115 hata kama mvua haijanyesha kwa miaka 2
- Waziri Kalemani: Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15, 2021. Umeme wa maji ni nafuu kuliko wa vyanzo vingine
- Kutokukamilika kwa Mradi wa Umeme Rufiji mwaka 2022 kama ilivyotakiwa na sasa Kukamilika 2024 ni Kumtukana na Kumdhalilisha Hayati Dkt. Magufuli
- Rais Samia kuzindua zoezi la ujazaji maji katika Bwawa la Julius Nyerere, Disemba 22
- Makamba: Ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere umefikia asilimia 67
- Makamba: Sisi tumeamua kuwa wakweli, bwawa la Nyerere linaisha Juni 2024. Adai tarehe ya mwanzo isingewezekana kwa namna yoyote
- Makamba: Itachukua misimu miwili ya mvua kujaza Bwawa la Nyerere
- Maji yatakayojazwa Bwawa la Nyerere (JNHPP) yanaweza kuzalisha Umeme kwa mwaka mmoja bila kutegemea mvua
- Rais Samia akishiriki shughuli ya kuanza kujaza maji Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), 22/12/2022
- TANESCO: Bwawa la Nyerere halitapunguza bei ya umeme
- Serikali: Mashine ya kwanza ya Kufua Umeme Bwawa la Nyerere itawashwa Mwezi Februari 2024
- Rais Samia: Uzalishaji Umeme Bwawa la Nyerere kuanza Januari 2024
- TANESCO: Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP) kuhusishwa na athari za mafuriko ya Kibiti na Rufiji ni kupotosha Umma
- Kamati ya Bunge: Bwawa la Nyerere litakamilika Juni 2024, Tsh. Trilioni 5.85 zimelipwa tayari
- Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa
- Rais Samia: Suluhu ya Umeme itapatikana Aprili 2024 baada ya kuanza uzalishaji wa Megawatt 470-500 katika Bwawa la Mwalimu Nyerere!
- Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere
- TANESCO: Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP) kuhusishwa na athari za mafuriko ya Kibiti na Rufiji ni kupotosha Umma
- Profesa Tibaijuka: Mafuriko ya Rufiji hayajasababishwa na Ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ila limeshindwa kuregulate mafuriko!
- Mtambo wa pili bwawa la Nyerere kuwashwa, kumaliza kabisa mgao wa umeme nchini
TUHUMA ZA UFISADI NA HUJUMA
- Mtaalam: Watanzania mnadanganywa Stiglers Gorge haiwezekani kwani Kina cha Maji Mto Rufiji kinapungua mno
- Hatma ya mradi Stiegler’s Gorge: Hatakama hatukubaliana kiitikadi, tukubaliane katika Ushauri wa kitaalam
- Hotuba ya bajeti Nishati; Miradi ya Rufiji na gesi itaumiza nchi: Mnyika aonya
- Tuambiwe ukweli: Stiglers Gorge inaweza kuwa maafa makubwa kwa taifa badala ya furaha
- Lissu: Serikali na benki hazina uwezo wa kujenga bwawa la Umeme Rufiji
- CAG: Bwawa la Nyerere liliharakiswa
- Polepole: Bwawa la Nyerere ni mradi wa kufa na kupona hatutakubali wahuni wauchezee, Winchi ni kitu kidogo sana!
- Inaumiza sana kuona mradi wa bwawa la Nyerere unahujumiwa wazi wazi
- Unakataje miti milioni 4 ili kujenga la umeme (JNHPP)
- Makamba: Mradi wa JNHPP upo nyuma kwa siku 477 (yaani mwaka na zaidi ya siku 100)
- UFISADI: Mpina aibua tuhuma za upigaji wa Sh. Trilioni 1.5 Bwawa la Nyerere
HISTORIA
- Mradi wa kufua umeme wa maji wa Julius Nyerere katika maporomoko ya mto rufiji unaotekelezwa na Serikali uliasisiwa na Baba wa Taifa mwaka 1975
- CAG: Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere unatumia upembuzi wa mwaka 1970
- Mhandisi Mkazi, Upembuzi yakinifu wa 1980 unatumika bwawa la JNHPP
- Mwalimu Nyerere aliomba fedha Mradi wa Bwawa la Umeme Rufiji