Baadhi yao washakufa mkuuWalishakula wakanawa inatakiwa waende wakamalizie pale walipoishia tena bila posho
Kwa kweli mimi naonelea ni bora tuwe na serikali 3. Muundo wa serikali mbili dhamira yake ilikuwa ni kuimeza Zanzibar na hilo halikubaliki ndugu.Sawa mkuu wangu nimeridhia unipinge.....π
Mkuu unaihitaji katiba ya serikali tatu?!!!
TANGANYIKA tuliyoizika 6 feet under the ground IFANYIWE maombi na dua ifufuliwe mkuu?!!!!
Mkuu bunge lilivurugika, hatukufikia hata hatua ya kutoka na hiyo katiba pendekezwa ya kupelekwa kwa wananchiRasimu ya Jaji Warioba hiyo hatua ilishapita. Hatua iliyopo ni Katiba pendekezwa kupelekwa kwa wananchi kwa ajili ya kupigiwa kura ya maoni.
Tuanze afresh au tukaipigie kura Katiba pendekezwa. Kurudi kwenye hatua iliyokwisha pita ni unconstitutional kwa maoni yangu.
Inaonekana Watanzania karibu wote tuna msimamo mmoja juu ya kuanza upya au kuendelea na rasimu ya Jaji Warioba. Hili inawezekana lipo clear already.
Hapo kwenye hao watu wa kushiriki kwenye bunge la katiba sasa ndio balaa lipo hapo. Na ndio maana nkasema, Mheshimiwa Rais asiuanzishe mchakato huu mpaka apate watu wa kuaminika ambao hawatatutia hasara kama taifa kama ilivyotokea kipindi kile.
Huu mchakato ni mgumu sana jamani na kuthibitisha hilo, wengi wetu hatuwezi kuipanga safu ambayo inaweza ikaitwa bunge la katiba.
Leo nikikwambia mkuu tindo upendekeze majina ya watu ambao wanatakiwa wawepo katika hayo makundi uliyoyataja naamini hutoweza. Kwa mfano, pendekeza hao polisi wawili, askari magereza wawili, uhamiaji wawili viongozi wa dini 16 wafugaji watano wakulima watano (huku ukijua Sumry nae na mkulima π π π π )
Hao wanasiasa 20 mkuu utazua balaa kubwa hapo na majina utashindwa kuja nayo.
Kiufupi hao watu mia wakichaguliwa basi yatazuka makubwa kwamba katiba ni ya hao watu 100 na sio ya Watanzania.
Kwenye wanamichezo tafadhali ndugu yangu isajorsergio asikose.
UKAWA walitoka, Bunge liliendelea mpaka mwisho. Hukumbuki Mwanasheria Mkuu wa SMZ ambe ndie Makamo wa Kwanza wa RAIS kwa Sasa alipotimuliwa kwa kupiga kura kinyume na matakwa ya mwajiri wake?Mkuu bunge lilivurugika, hatukufikia hata hatua ya kutoka na hiyo katiba pendekezwa ya kupelekwa kwa wananchi
Akhui unanifurahisha kwa UZALENDO KUNTU moyoni mwako.....Kwa kweli mimi naonelea ni bora tuwe na serikali 3. Muundo wa serikali mbili dhamira yake ilikuwa ni kuimeza Zanzibar na hilo halikubaliki ndugu.
Wacha Tanganyika ifufuke
Hakika π Natakiwa kuwa ndani ya jengo kutoa mapendekezo mbalimbali.Inaonekana Watanzania karibu wote tuna msimamo mmoja juu ya kuanza upya au kuendelea na rasimu ya Jaji Warioba. Hili inawezekana lipo clear already.
Hapo kwenye hao watu wa kushiriki kwenye bunge la katiba sasa ndio balaa lipo hapo. Na ndio maana nkasema, Mheshimiwa Rais asiuanzishe mchakato huu mpaka apate watu wa kuaminika ambao hawatatutia hasara kama taifa kama ilivyotokea kipindi kile.
Huu mchakato ni mgumu sana jamani na kuthibitisha hilo, wengi wetu hatuwezi kuipanga safu ambayo inaweza ikaitwa bunge la katiba.
Leo nikikwambia mkuu tindo upendekeze majina ya watu ambao wanatakiwa wawepo katika hayo makundi uliyoyataja naamini hutoweza. Kwa mfano, pendekeza hao polisi wawili, askari magereza wawili, uhamiaji wawili viongozi wa dini 16 wafugaji watano wakulima watano (huku ukijua Sumry nae na mkulima π π π π )
Hao wanasiasa 20 mkuu utazua balaa kubwa hapo na majina utashindwa kuja nayo.
Kiufupi hao watu mia wakichaguliwa basi yatazuka makubwa kwamba katiba ni ya hao watu 100 na sio ya Watanzania.
Kwenye wanamichezo tafadhali ndugu yangu isajorsergio asikose.