Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Nilikua nataka ni comment positvely ila nilivo ona jina la mwenye Mada Lucas mwashamba. ni kagaili ili nisionekane kufanana nae chawa mkubwa huyu.Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3078807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nimeacha nafasi ili uweke namba yako ndugu yangu mtanzania.Weka na namba ya simu sasa
Hayo mabilioni ulitoa wewe?Mabilioni ya kodi ya Watanzania yanatafunwa kwa tamasha useless
Ungejitahidi uwahi hospitali kuu pale DodomaNilikua nataka ni comment positvely ila nilivo ona jina la mwenye Mada Lucas mwashamba. ni kagaili ili nisionekane kufanana nae chawa mkubwa huyu.
Hivi,Luca unajionaga kama unahutubia taifa?🤣🤣🤣🤣🙏Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3078807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watu wameripuka kwa shangwe ,furaha ,nderemo na vifijo.vipi,tamasha halijabubujikwa na machozi liliposikia hivyo?
Kwani wapi nimehutubia TaifaHivi,Luca unajionaga kama unahutubia taifa?🤣🤣🤣🤣🙏
Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete hawakutaka kutumia nafasi zao kukukuza kwao kiwango tunachokiona wakati wa Magufuli na SamiaNdugu zangu Watanzania,View attachment 3078807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mwehu wewe.Niletee maparachichi hapa Nyamisisye Kiabakari nile.Kwani wapi nimehutubia Taifa
Kiabakari kula nyanya na matangoMwehu wewe.Niletee maparachichi hapa Nyamisisye Kiabakari nile.
Hata Kizimkazi ni Tanzania na kuna watanzania pia.Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete hawakutaka kutumia nafasi zao kukukuza kwao kiwango tunachokiona wakati wa Magufuli na Samia
Asanti Mh. Rais na kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu hassan,Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3078807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Rais Samia ni Mpango wa Mungu MwenyeweAsanti Mh. Rais na kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu hassan,
Serilikali sikivu ya mapinduzi ya Zanzibar imesikia na bilashaka inakwebda kutekeleza kikamilifu jukumu hilo muhimu sana kwa kushirikina na JMT kwa maslahi mapana ya wananchi wote