Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Vimenichosha.Nataka matangadasi kutoka Ikuvilo Iringa na maparachichi ya Luca.Kiabakari kula nyanya na matango
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vimenichosha.Nataka matangadasi kutoka Ikuvilo Iringa na maparachichi ya Luca.Kiabakari kula nyanya na matango
Simple answer to complex issuesHata Kizimkazi ni Tanzania na kuna watanzania pia.
Maparachichi yooote ni kwa ajili ya ephen. Wewe labda utapewa mapilipili Mbuzi ili ule mpaka uchanganyikiwe.Vimenichosha.Nataka matangadasi kutoka Ikuvilo Iringa na maparachichi ya Luca.
Luca yuko kwa wala urojo huko tamashani....labda uvute subira amalize kububujikwa na machozi ya uongozi wa mama.Vimenichosha.Nataka matangadasi kutoka Ikuvilo Iringa na maparachichi ya Luca.
Huna maana kabisa.Kwa hiyo nimekua dada Arvind Pinda Chana hadi nile pilipili?Au kaka yake Arshivin Solanki?Maparachichi yooote ni kwa ajili ya ephen. Wewe labda utapewa mapilipili Mbuzi ili ule mpaka uchanganyikiwe.
Akithubutu kuenda kuogelea tu,hatuna mtu.Vikosi vya uokoaji vikae tayaritayari.Luca yuko kwa wala urojo huko tamashani....labda uvute subira amalize kububujikwa na machozi ya uongozi wa mama.
Jiwe kwenda likizo Chato nabkujenga uwanja wa ndege ilikuwa nogwa kweli lakini kizmkazi kila mtu mi kukenua meno.Unafiki kweli hautaishaNdugu zangu Watanzania,View attachment 3078807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni lazima ule tu pilipili mpaka ubaki unabubujikwa na machozi ya uchungu na majuto.Huna maana kabisa.Kwa hiyo nimekua dada Arvind Pinda Chana hadi nile pilipili?Au kaka yake Arshivin Solanki?
Embu andika kwa kutulia ,maana naona unaandika utafikiri unakimbizwa nyumaJiwe kwenda likizo Chato nabkujenga uwanja wa ndege ilikuwa nogwa kweli lakini kizmkazi kila mtu mi kukenua meno.Unafiki kweli hautaisha
Unajua wewe Luca hufai kabisa.Nampanga ephen agome kuja Kajunjumele.Ni lazima ule tu pilipili mpaka ubaki unabubujikwa na machozi ya uchungu na majuto.
Muda si mrefu kizimkazi kuwa MKOA WA KI UTALII wenye vivutio vingi zaidi Tanzania😛😛😛😛Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3078807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi, weka yako, na wengine inafika bilioniHayo mabilioni ulitoa wewe?
Watu watafurahi na kushangilia mpaka wabubujikwe na machozi ya furaha.Muda si mrefu kizimkazi kuwa MKOA WA KI UTALII wenye vivutio vingi zaidi Tanzania😛😛😛😛
Chawa naona mnapanga mistari tu.Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3078807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi siyo chawa.Chawa naona mnapanga mistari tu.
Mimi kidogo, yako kidogo hadi inafika bilioni, halafu inaenda kutafunwa tukio la kijingaHayo mabilioni ulitoa wewe?
Kila kitu kipo sawa na kukidhi vigezo.Wangetoa analysis ya tamasha kabla ya mapendekezo.