Rais Samia:Tamasha La Kizimkazi Litambulike Rasmi.

Jiwe kwenda likizo Chato nabkujenga uwanja wa ndege ilikuwa nogwa kweli lakini kizmkazi kila mtu mi kukenua meno.Unafiki kweli hautaisha
 
Muda si mrefu kizimkazi kuwa MKOA WA KI UTALII wenye vivutio vingi zaidi TanzaniaπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Katika taifa hili Western corridor imesahulika kabisa katika utalii nadhani jitihada kama hizi zingefanyika Western zone kungekua na tija kubwa kwa taifa zima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…