Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Kila sehemu itafikiwaKatika taifa hili Western corridor imesahulika kabisa katika utalii nadhani jitihada kama hizi zingefanyika Western zone kungekua na tija kubwa kwa taifa zima.
Nyerere alikua mcommunist/roho mbaya kanda ya ziwa ingekua na vyuo vikuu vya ummah, ila hakutska wasomi kushindana nae, ndo maana alichukia sanaa wahaya.Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete hawakutaka kutumia nafasi zao kukukuza kwao kiwango tunachokiona wakati wa Magufuli na Samia
Kwani lazima ukubali, kujipendekeza kwako tu kunatosha kuonyesha uchawa wako.Mimi siyo chawa.
Mimi sijipendekezi bali naongea UKWELI tuKwani lazima ukubali, kujipendekeza kwako tu kunatosha kuonyesha uchawa wako.
Vua chupi akuweke nyuma chapu. Jinga wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketeeNdugu zangu Watanzania,View attachment 3078807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe hunaga akili kabisaVua chupi akuweke nyuma chapu. Jinga wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Embu kaa kwa kutulia hapa na siyo kuweweseka Utafikiri unazijua gharama zake au umewahi kuchangia.Samia ni raisi wa Tanzania, kwahiyo hilo tamasha lake litambulike na serikali yake ya Tanzania, assibebeshe serikali ya Zanzibar mzigo wake
Wewe kwa uelewa wako unadhani hayo mabilioni yanatoka wapi?Hayo mabilioni ulitoa wewe?
Ushahidi wa hayo mabilioni upo wapi?Wewe kwa uelewa wako unadhani hayo mabilioni yanatoka wapi?
Kwani kwa unavyo jua wewe tamasha linaendeshwa kwa gharama za kuchota muchanga kuligharamia?Ushahidi wa hayo mabilioni upo wapi?
Jibu swali haraka sana nililokuuliza.unao ushahidi wa hayo mabilioni? Kama unao weka hapa.Kwani kwa unavyo jua wewe tamasha linaendeshwa kwa gharama za kuchota muchanga kuligharamia?
Hivi linahusu nini hilo tamasha lo?? Nasikia tukizimkazi kizimkazi!
Swali lililo baki ni la kwako kulingana na namna za kujibu maswali au unaujua uchawa tu na sio kuelewa majibu ya maswali?Jibu swali haraka sana nililokuuliza.unao ushahidi wa hayo mabilioni? Kama unao weka hapa.
Ndiyo kauli zenu...Hata Kizimkazi ni Tanzania na kuna watanzania pia.