Rais Samia, Tanzania ni moja na hakuna mpasuko wowote. Tupo wamoja sana

Angalizo lingine kwa mama,ukiona watu wote wabakusifia,wabakupenda na hata wapinzani sugu wa serikali ya CCM wanakuona u Bora kuwa ya kuwa waneona upenyo(udhaifu) wako.
Tuwe wakweli toka enzi za Mwl Nyerere,Mwinyi,Mkapa,na Magufuli,hatujawahi kuwa na urafiki,wa dhati na Kenya.Siku zote urafiki wetu,ujirani wetu,matendo ya Wake ya kwa Watanzania siku zote ni ya mashaka.
Chunga mama naenda polepole kwa tafakuri Pana.Waliokutangulia wakiona Nini mpaka hawakuwa na ukaribu mkuu na Wakenya?
Rostam alikupa angalizo kwamba alionana na wakuu wa Kenya tokea meals 2017, mpaka leo anazungushwa kupata kibali cha uwekezaji Kenya.
Wakenya walituambia mahindi yeti tana simu hayafai kuliwa na Wakenya ,Leo bila ichunguzi Kama simu imeondolewa,mahindi hayo hayo,sasa yanaruhusiwa.Tuna urafiki wa mashaka,Wenzetu wanakuona sisi hambanazo na wanaweza kutuburuza,njia ambayo naiona tunaifuata tusikipokuwa na angalizo la kina.
 
Wewe ndiyo hujielewi kwa njaa zako.
Safari hii hakuna nafasi kwa mataga na sukuma gang kuonekana ikulu .

Mkifika mnaishia getini maana zama zenu zimekwisha.
 
Mtateseka saaana nyie ,mama piga kazi,ondoa mazagazaga yote yaliotaka kugawa nchi vipande kwa kisingizio uchwara eti uzalendo what a joke?
Kundi hilo ni hatari sana maana kwao kila kitu anacho kifanya mama wao wanakikosoa na kusahau maovu yaliyokuwa yanafanywa na baba yao.
 
Wewe unaongea kama nani? nchi inaongozwa na wazenji hii sasa wewe shobo zako zinatoka wapi?
Hata kama ni wazenji lakini pia ni wanafamilia ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Mkome kumkwamisha rais mpenda amani na mshikamano.
 
Rais ametumia akili kumpa Mpango umakamu, atamsaidia sana akiwa ni mtu anayeijua serikali na anaijua bara vyema.

Pia asije kushawishika kumtosa Majaliwa hata iweje. Jamaa ni mchapa kazi na mzalendo.
 
haha story za kusadikika. umetia chumvi sana
 
Una akili kubwa Sana wewe, huyu mama tunakwenda naye akianza kupuyanga tu tutamchana live mchana kweupe.Afanye ziara mikoani ajionee live matatizo ya wananchi siyo kukaa tu ofisini na kufanya ziara za nje ya nchi.
 
Mkuu mama anaenda taratibu ,manyangau yalikuwa yamejipanga mnooo
 
Una akili kubwa Sana wewe, huyu mama tunakwenda naye akianza kupuyanga tu tutamchana live mchana kweupe.Afanye ziara mikoani ajionee live matatizo ya wananchi siyo kukaa tu ofisini na kufanya ziara za nje ya nchi.
Aliefanya ziara tanzania nzima alifanikiwa kupunguza umaskini kiasi gani?
 
Inaelekea hito benzi na nyumba imewauma watu kweli kweli chaaaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…