Rais Samia, Tanzania ni moja na hakuna mpasuko wowote. Tupo wamoja sana


Huyo hiyo shetani alifanya dunia ituheshimu
 
Huwa ni ninawaza kama ingeezekana kuwarudisha Wajerumani kwa miaka 10. Wapate sehemu ya kodi lakini wasimamie serikali. Gavana na mawaziri wawe wao. Kurudisha tu utawala wa sheria.
... wajerumani wa leo sio wale wa enzi zile za akina majemadari von Bismark, Karl Peters, et. al. pori kwa pori from Berlin to Msowero! Leo wanahubiri ushoga zaidi.
 
Tu likiloHuyo hiyo shetani alifanya dunia ituheshimu
Dunia ya wapi ilituheshimu? Mnadangayana sana na fake news. Tanzania kidunia imedharauliwa sana ndiyo kisa Rais SSH kaamua kumtoa Kalamagamba mambo ya nje na kumleta Mwana Diplomasia mbobezi Liberata Mulamula ili asafishe jina letu lililo chafuliwa na Mwendazake
 
Kwa hiyo atafute kuchukiwa?
 
Nchi ilidharaulika vibaya sana.
 
Huwa ni ninawaza kama ingeezekana kuwarudisha Wajerumani kwa miaka 10. Wapate sehemu ya kodi lakini wasimamie serikali. Gavana na mawaziri wawe wao. Kurudisha tu utawala wa sheria.
Tulikuwa na jerumani tayari, na tutaweza kupata mwingine huko mbeleni

 

You are too young to comprehend
 
Magufuli alikua kiongozi wa aina yake, Dunia Nzima ilimtamani.... hakika tumepoteza kiongozi makini , huyu tuliyenae hamna kitu
Nawe kajinyonge ufe
 
Hata kama ni wazenji lakini pia ni wanafamilia ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Mkome kumkwamisha rais mpenda amani na mshikamano.
We umepewa nini ? wenzako wanapeana magari sasa wewe mzaramo sijui mgogo una ushabikia wapemba, wewe kweli mzima?
 
... wajerumani wa leo sio wale wa enzi zile za akina majemadari von Bismark, Karl Peters, et. al. pori kwa pori from Berlin to Msowero! Leo wanahubiri ushoga zaidi.
Wale walikua na disciplines za Roman Army
 
Hahah yaani Mwendazake alikuwa anapendwa kuliko tunavyompenda mama yetu SSH, au Mimi sijaelewa. Ni kikundi kidogo sana ndani na nje ya chama ndio kilikuwa kinampenda Mwendazake, the rest walikuwa hawana namna tu
 

Ww baki ukinyeshea maua hapo kwenye kaburi la dhalimu, huku kwenye mambo ya kitaifa hupawezi. Lile kundi lenu la watu wasiojulikana limefikia mwisho wake, hata mkilzamisha huyu mama kuwa dhalimu hataweza.
 

Wakuheshimu wanakulisha!??? Poor brain. They had no free lunch anymore ndiyo maana wakajinunisha kivyao. Tumia akili basi, sawa!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…