Rais Samia, The Royal Tour isiache maeneo haya...

Sema dunia inabadirika sasa hivi tunaingia kwenye utalii wa teknolojia inabidi taifa tulitambue ilo. Hizi mambo sijui asili asili zinaanza kukosa ushawishi. Hivi kwa nini dubai inavutia watalii wengi na ikiwa haina mbuga ata moja?
 
Lake Ngozi
Lake Ngozi! Ndiyo ziwa Mbeya?
Lake Ngozi ninaijua kwani mwaka 1968 niliitembelea na kupiga kambi hapo kwa siku tatu, ila hiyo haiko Mbeya labd ungesema barabara ya Chunya Kawetere kwenye eneo la barabara iliyo kina kirefu kutoka usawa wa bahari katika Afrika, (highest Road Point above sea level in Africa).
 
Nilikosea mkuu. Kawetere papo safi. Pia hata Kiwira hadi Kyela hasa Matema Beach napo kunahitaji kutangazwa. Ni kuzuri mno.
 
Ugawaji huu wa coordinates kama njugu, unafanya wanausalama wetu kuwa na kazi ngumu
 
Hujui utalii unakua kwa sababu zipi, Kagame na Netanyahu walikuwa wanatumia Royal tour kwa ajili ya propoganda tu ili kuficha uhalifu wao dhidi ya binadamu wengine.
 
Umeelezea vizuri sana tatitizo ni kuwa Tz hakuna INFRASTRUCTURE plus hakuna ENERGY plus WATER hivi vitu ni muhimu sana hawezi kuja muekazaji wakati hakuna mambo hayo wakati Dunia haiko hivyo ,baada ya kumfanya muekezaji anakuja kujenga kiwanda inabidi aje na umeme wake na maji yake hiyo ndio shida.
 
Naomba afike na kule Mbeya, kuna ziwa linaitwa Ngosi, na kule Songwe kwenye kimondo. Ila ziwa nasikia lina masharti ya kufika huko😂
Nimefika huko mkuu. Lake NGOSI. Unasalimia tu pale ofisi ya kijiji unaanza safari ila mlima ni mkali sana. Unahitaji watu wenye pumzi za kutosha.
 
Sema dunia inabadirika sasa hivi tunaingia kwenye utalii wa teknolojia inabidi taifa tulitambue ilo. Hizi mambo sijui asili asili zinaanza kukosa ushawishi. Hivi kwa nini dubai inavutia watalii wengi na ikiwa haina mbuga ata moja?

Umeona mkuu hata mm naona hilo tujitahidi pia kuwekeza kwenye utalii wa bata eg kuboresha beach zetu, kutengeneza mahoteli na kumbi kubwa za mikutano
 
Sambamba na royal tour. Wakuu wa mikoa wangeweza kuratibu maeneo ya mikoa yao ambayo yana vivutio mbali mbali. Mzee wa toronto na kisarawe wakati wa Jokate walifanya hilo vizuri sana.
 
Umeona mkuu hata mm naona hilo tujitahidi pia kuwekeza kwenye utalii wa bata eg kuboresha beach zetu, kutengeneza mahoteli na kumbi kubwa za mikutano

Ndio ndio dunia ya sasa mtu anatafuta hela ili atumie tuwekeze huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…