Rais Samia, tulikueleza mapema hawa CHADEMA sio wa kuwalegezea maana ni waganga njaa wasiojali maslahi ya taifa. Sasa mapema umeona madhara yao

Rais Samia, tulikueleza mapema hawa CHADEMA sio wa kuwalegezea maana ni waganga njaa wasiojali maslahi ya taifa. Sasa mapema umeona madhara yao

Idugunde bwana unanifurahishaga Sana kamanda yaani wewe ni Moja ya watu akili kubwa hapa jamvini

Napendekeza JF wakupe u mods wa jukwaa la siasa maana unaweza limudu Kwa akili yako kubwa ya kuchambua mambo!
 
Sijaona ubaya wowote kwa yanayoendelea.Mimi ninachoona ni wananchi wanapractise haki zao kwa mujibu wa katiba.Kama kuna sheria zinavunjwa nieleze hapa.
Wananchi kupata haki zao sio sababu za kutishia mamlaka. Zipo njia za kupata na kudai haki.
 
Wewe ni mpumbavu na takataka
Hakuna siasa nyepesi Africa

Lazima watu wawe huru kufanya siasa nchini mwao

Wewe ni nani uwapangie watu cha kufanya kwenye taifa huru.

Mwambie bibiyako afute kwanza vyama Vingi vya siasa ndio aje hapa kuongea ujinga wake wa kuvunja katiba na sheria za nchi.

Pumbavu zako

Katiba sio ya chadema wala ccm katiba ni takwa la watanzania wanaojitambua sio wapumbavu kama wewe.!
Nani kakupangia cha kufanya Kamanda? What matters is obedience. Kama mnataka katiba mpya lazima mtii mamlaka sio kuleta vitisho vya kilevi.
 
Japokuwa inaweza kuwa ni kushukuru sababu umewahutukia mapema kabla hawajapata kuchafua hali ya usalama wa nchi.

Lakini Mama Samia tambua kabisa Chadema ni genge la wasaka njururu kupitia siasa.

Na kama ukilegeza zaidi yale yalimkuta Jakaya mpaka akina hayati Mwangosi na yule kijana machinga aliyefariki Morogoro yatatokea.

Kuwa kama hayati JPM hakuna kucheka na watu wasio na nia njema na taifa letu.

Kidogo tu umelegeza wakafanya mikutano ya ndani na kijiziara cha kidijatari. Tayari wanataka kukutia vidole machoni ili wakujaribu.

My take; Tuskibali kupelekwa na wanasiasa waganga njaa ambao hawana lolote mkichwa.
Mwanagang bado hukubali tu kuwa zile enzi zenu zimekwisha.
 
Fuatilia ziara za kidijitari. Kutishia kunaweza kuwa directly or impliedly. Kumbuka Chadema ni watu. Tuliza munkari acha utoto.
Mwenye utoto ni wewe ambae unaanzisha mada kisha unashindwa kuitetea.Nieleze chadema wameitishiaje mamlaka na kwa kufanya hivyo wamevunja sheria ipi.
 
Back
Top Bottom