Rais Samia, tulikueleza mapema hawa CHADEMA sio wa kuwalegezea maana ni waganga njaa wasiojali maslahi ya taifa. Sasa mapema umeona madhara yao

Kama unajua kuwa huwezi kutetea kwa hoja mada unayotaka kuianzisha ni vyema kukaa pembeni bila kuanzisha mada ili kuficha upumbavu wako.
Unataka ufafanuliwe vipi we bwege? Hujui maana ya kutishia kuvuruga amani directly or impliedly?
 
Ukweli ni huu nchi ni yetu sote, katiba mpya lazima ipatikane apende asipende nchi siyo mali yake binafsi
Katiba inakusaidia nini jomba? Toka 77 tupo na hiii hii na ugatuzi wa madaraka unafanyika kwa amani unataka nini tena hii issue iko political oriented haina sense katika social factor ambazo zinawagusa walio wengi nikimaanisha wananchi lengo ni kuiondoa ccm madarakan its fine chama gani kina nguvu ya kuweza kukamata dola baada ya kuondoka CCM? Jibu ni hamna tuendelee na ccm mpaka pale upinzani utakapokua na ajenda ya kitaifa sio hizi agenda mdandio
 
Olewa umri umesogea
 
Kama unadai unafuatilia kinachoendele nchini na hujui kinachoendelea basi wewe ni pimbi.
Huwezi kunilazimishia kuwa kinachoendelea ni uvunjifu wa sheria wakati hakuna sheria iliyovunjwa na pia umeshindwa kuthibitisha na hata kusema sheria zinazovunjwa ni zipi.Haya yote yanathibitisha kuwa wewe ndiye Pimbi.
 
Huwezi kunilazimishia kuwa kinachoendelea ni uvunjifu wa sheria wakati hakuna sheria iliyovunjwa na pia umeshindwa kuthibitisha na hata kusema sheria zinazovunjwa ni zipi.Haya yote yanathibitisha kuwa wewe ndiye Pimbi.
Sawa.
 
Bora usingeanzisha Uzi huu labda wangedhani wewe ni wa maana. Lakini tukio lako hili hata Baba yako anaona aibu kukupereka shule.

HUNA AKILI. Huyo JPM aliyewakazia kuhakikisha anakiua chama . Nani katangulia kuzimu ?! Cdm au yeye !!
Kwa hiyo Magu kafa sababu alitaka chadema ife?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…