Rais Samia, tunahuzunika kumuondoa Kisarawe DC Jokate

Rais Samia, tunahuzunika kumuondoa Kisarawe DC Jokate

Baba jayaron

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
4,324
Reaction score
5,933
Asaalaam Aleykum wabarakatu!

Awali ya wote nikupongeze kwa kazi nzuri mama yetu Mh. Rais pia nikupepole kwa kazi hio ngumu.

Niende kwenye mada mama, nakuomba au nnaimani umepita pita mitandaoni nakuona comments za raia wako walivotoa maoni yao juu ya teuzi (mkeka) wa ma DC.

Leo sitotaka kuzumzia saana hao wengine kwakua sina mashaka nao saana kama watafuata miendo ya viongozi vijana ambao hawakutegemewa kufanya vizuri na wakafanya maajabu.

Mh. DC Joketi Mwagelo anastahili Pongezi kwa mapinduzi makubwa yenye mafanikio katika uongozi wake ambapo alifanikiwa hadi kuwaziba midomo wapinzani.

Hawa ndio aina ya viongozi vijana tunaowataka ambao hawawazi umaarufu kwa kujibizana na wapinzani zaidi ya kupiga kazi kwa uweledi na ubunifu yakinifu.

Sasa mama unaona wanakisarawe wanavyolia kwann umemuondoa Mh. DC J. Mwagelo, mama angalia sisi wengine tunavyohuzunika pamoja nao! Mama raia tunaona kama kazi bado hajamaliza kwann umlete Temeke?

Joketi anafaa maeneo ambayo jamii husika bado imelala, imelala kielimu, tamaduni, utalii, n.k. kisarawe kabla ya DC. J. Mwagelo ilikua inaidadi ndogo sana ya wageni yaani uwepo wake tuu hata utalii wa ndani uliongezeka.

Sasa mama hatupingi siajabu kuna uliloliona kwa temeke linamfaa Hilo hatupingi ila si tunatoa dukuduku letu tuuu.

Alafu mama kuna wengine eti wanataka umpe uwaziri kabisa ikiwezekana Utalii au michezo mi mwenyewe "nimewashangaa"😊😊😊
 
Jokate alikuwa kiunganishi wa wana-Kisarawe na ile spirit nzuri ya uzalendo na uchapakazi wa JPM; sasa Bi Mkubwa lengo kuvuruga huo mshikamano na upendo wao kwa Anko ndiyo maana katawanya kila kona, kafuta kila kona, kasambaza kila kona. Hatari sana!!! Hizi teuzi Bi Mkubwa anafanya kwa sifa.
 
Mwacheni Mkuu wetu wa Wilaya ya Temeke tumualike kwenye Majlis za Shisha ili aone tunavyosumbuliwa na Matamko ya Bashite.

Tumehamishia Majlis zetu za Shisha mafichoni tunataka atupelekee kilio chetu kwa Mama ili tuwe huru bila ya khofu ya Mapolisi na Wakuda wengine.

Karibu Temeke Mhe. Jokate.
 
Jokate alikuwa kiunganishi wa wana-Kisarawe na ile spirit nzuri ya uzalendo na uchapakazi wa JPM; sasa Bi Mkubwa lengo kuvuruga huo mshikamano na upendo wao kwa Anko ndiyo maana katawanya kila kona, kafuta kila kona, kasambaza kila kona. Hatari sana!!! Hizi teuzi Bi Mkubwa anafanya kwa sifa.
Sio sifa bwana jicho lake linaona mbali kuliko wewe
 
Jokate alikuwa kiunganishi wa wana-Kisarawe na ile spirit nzuri ya uzalendo na uchapakazi wa JPM; sasa Bi Mkubwa lengo kuvuruga huo mshikamano na upendo wao kwa Anko ndiyo maana katawanya kila kona, kafuta kila kona, kasambaza kila kona. Hatari sana!!! Hizi teuzi Bi Mkubwa anafanya kwa sifa.
Tumia akili, kila mtu ana model yake ya namna ya kuongoza.
Usidhani kila mtu anakubaliana na ujinga wa kipindi kile ambao wewe unataka kuwaaminisha watu kwamba ulikua ni best practice. Wala sitakuja nikubaliane na ujinga wa SASHA ambao umeanza kujidhihiri kupitia teuzi hizi.
Kuhusu huyo Jokate, unajua kuna wangapi wana uwezo kumzidi na wameachwa? Tena ilitakiwa this time awekwe kando ili kutoa nafasi kwa wengine na yeye aende mtaani akayaishi kwa vitendo yote aliyokua anayasimamia tena sasa hivi ameshaongeza connections kibao angewwza kuwa inspire vijana kutotegemea teuzi.
Ujinga wa mwendazake uliondoka naye, huu ni wakati wa ujinga mpya
 
Mwacheni Mkuu wetu wa Wilaya ya Temeke tumualike kwenye Majlis za Shisha ili aone tunavyosumbuliwa na Matamko ya Bashite.

Tumehamishia Majlis zetu za Shisha mafichoni tunataka atupelekee kilio chetu kwa Mama ili tuwe huru bila ya khofu ya Mapolisi na Wakuda wengine.

Karibu Temeke Mhe. Jokate.
Taratibu msijemtaftia zengwe tuu
 
Asaalaam Aleykum wabarakatu!

Awali ya wote nikupongeze kwa kazi nzuri mama yetu Mh. Rais pia nikupepole kwa kazi hio ngumu.

Niende kwenye mada mama, nakuomba au nnaimani umepita pita mitandaoni nakuona comments za raia wako walivotoa maoni yao juu ya teuzi (mkeka) wa ma DC.

Leo sitotaka kuzumzia saana hao wengine kwakua sina mashaka nao saana kama watafuata miendo ya viongozi vijana ambao hawakutegemewa kufanya vizuri na wakafanya maajabu.

Mh. DC Joketi Mwagelo anastahili Pongezi kwa mapinduzi makubwa yenye mafanikio katika uongozi wake ambapo alifanikiwa hadi kuwaziba midomo wapinzani.

Hawa ndio aina ya viongozi vijana tunaowataka ambao hawawazi umaarufu kwa kujibizana na wapinzani zaidi ya kupiga kazi kwa uweledi na ubunifu yakinifu.

Sasa mama unaona wanakisarawe wanavyolia kwann umemuondoa Mh. DC J. Mwagelo, mama angalia sisi wengine tunavyohuzunika pamoja nao! Mama raia tunaona kama kazi bado hajamaliza kwann umlete Temeke?

Joketi anafaa maeneo ambayo jamii husika bado imelala, imelala kielimu, tamaduni, utalii, n.k. kisarawe kabla ya DC. J. Mwagelo ilikua inaidadi ndogo sana ya wageni yaani uwepo wake tuu hata utalii wa ndani uliongezeka.

Sasa mama hatupingi siajabu kuna uliloliona kwa temeke linamfaa Hilo hatupingi ila si tunatoa dukuduku letu tuuu.

Alafu mama kuna wengine eti wanataka umpe uwaziri kabisa ikiwezekana Utalii au michezo mi mwenyewe "nimewashangaa"😊😊😊
Kabla Hayati Rais Dk. Magufuli hajamteua kuwa DC huko mlijua angekuwa? Watanzania ni Watu 'Wanafiki' sana japo siyo Wote.
 
Tumia akili, kila mtu ana model yake ya namna ya kuongoza.
Usidhani kila mtu anakubaliana na ujinga wa kipindi kile ambao wewe unataka kuwaaminisha watu kwamba ulikua ni best practice. Wala sitakuja nikubaliane na ujinga wa SASHA ambao umeanza kujidhihiri kupitia teuzi hizi.
Kuhusu huyo Jokate, unajua kuna wangapi wana uwezo kumzidi na wameachwa? Tena ilitakiwa this time awekwe kando ili kutoa nafasi kwa wengine na yeye aende mtaani akayaishi kwa vitendo yote aliyokua anayasimamia tena sasa hivi ameshaongeza connections kibao angewwza kuwa inspire vijana kutotegemea teuzi.
Ujinga wa mwendazake uliondoka naye, huu ni wakati wa ujinga mpya
Wewe ungekuwa mwembe, ungetunda malimau au hata pilipili-mbuzi
 
Asaalaam Aleykum wabarakatu!

Awali ya wote nikupongeze kwa kazi nzuri mama yetu Mh. Rais pia nikupepole kwa kazi hio ngumu.

Niende kwenye mada mama, nakuomba au nnaimani umepita pita mitandaoni nakuona comments za raia wako walivotoa maoni yao juu ya teuzi (mkeka) wa ma DC.

Leo sitotaka kuzumzia saana hao wengine kwakua sina mashaka nao saana kama watafuata miendo ya viongozi vijana ambao hawakutegemewa kufanya vizuri na wakafanya maajabu.

Mh. DC Joketi Mwagelo anastahili Pongezi kwa mapinduzi makubwa yenye mafanikio katika uongozi wake ambapo alifanikiwa hadi kuwaziba midomo wapinzani.

Hawa ndio aina ya viongozi vijana tunaowataka ambao hawawazi umaarufu kwa kujibizana na wapinzani zaidi ya kupiga kazi kwa uweledi na ubunifu yakinifu.

Sasa mama unaona wanakisarawe wanavyolia kwann umemuondoa Mh. DC J. Mwagelo, mama angalia sisi wengine tunavyohuzunika pamoja nao! Mama raia tunaona kama kazi bado hajamaliza kwann umlete Temeke?

Joketi anafaa maeneo ambayo jamii husika bado imelala, imelala kielimu, tamaduni, utalii, n.k. kisarawe kabla ya DC. J. Mwagelo ilikua inaidadi ndogo sana ya wageni yaani uwepo wake tuu hata utalii wa ndani uliongezeka.

Sasa mama hatupingi siajabu kuna uliloliona kwa temeke linamfaa Hilo hatupingi ila si tunatoa dukuduku letu tuuu.

Alafu mama kuna wengine eti wanataka umpe uwaziri kabisa ikiwezekana Utalii au michezo mi mwenyewe "nimewashangaa"😊😊😊

Huyu jokate, u-dc unamfaa na ndio anaiweza.....uwaziri sio size yake. Atavuruga
 
Wana wa Kisarawe Niki wa Pili anakuja huko mwacheni kidoti aje Temeke! Kizuri tukitumie wote .........!
 
Kabla Hayati Rais Dk. Magufuli hajamteua kuwa DC huko mlijua angekuwa? Watanzania ni Watu 'Wanafiki' sana japo siyo Wote.
Mkuu unajazbaaa!!! Hebu meza fundo la maji kawanza........

Ni kawaida kwa wale ambao hawakumjua ila sisi tulio mjua before tulielewa!
 
Asaalaam Aleykum wabarakatu!

Awali ya wote nikupongeze kwa kazi nzuri mama yetu Mh. Rais pia nikupepole kwa kazi hio ngumu.

Niende kwenye mada mama, nakuomba au nnaimani umepita pita mitandaoni nakuona comments za raia wako walivotoa maoni yao juu ya teuzi (mkeka) wa ma DC.

Leo sitotaka kuzumzia saana hao wengine kwakua sina mashaka nao saana kama watafuata miendo ya viongozi vijana ambao hawakutegemewa kufanya vizuri na wakafanya maajabu.

Mh. DC Joketi Mwagelo anastahili Pongezi kwa mapinduzi makubwa yenye mafanikio katika uongozi wake ambapo alifanikiwa hadi kuwaziba midomo wapinzani.

Hawa ndio aina ya viongozi vijana tunaowataka ambao hawawazi umaarufu kwa kujibizana na wapinzani zaidi ya kupiga kazi kwa uweledi na ubunifu yakinifu.

Sasa mama unaona wanakisarawe wanavyolia kwann umemuondoa Mh. DC J. Mwagelo, mama angalia sisi wengine tunavyohuzunika pamoja nao! Mama raia tunaona kama kazi bado hajamaliza kwann umlete Temeke?

Joketi anafaa maeneo ambayo jamii husika bado imelala, imelala kielimu, tamaduni, utalii, n.k. kisarawe kabla ya DC. J. Mwagelo ilikua inaidadi ndogo sana ya wageni yaani uwepo wake tuu hata utalii wa ndani uliongezeka.

Sasa mama hatupingi siajabu kuna uliloliona kwa temeke linamfaa Hilo hatupingi ila si tunatoa dukuduku letu tuuu.

Alafu mama kuna wengine eti wanataka umpe uwaziri kabisa ikiwezekana Utalii au michezo mi mwenyewe "nimewashangaa"😊😊😊
Na mm pia nimekuwa nikisema ilo huyu dada kumpeleka kwa wahuni pale TMK ni kumuharibu kipawa chake.....
Jokate alistahili apelekwe Nachingwea ,Masasi, au wilaya ya kibaha Vijijini au wilaya yoyote ambayo ni remote
Ana kipawa cha kuamsha maendeleo maana kisarawe ya leo sio ile ya miaka 5 nyuma .... Kuikomboa jamii iliyo kuwa imelala ni kazi ngumu sana
 
Tumia akili, kila mtu ana model yake ya namna ya kuongoza.
Usidhani kila mtu anakubaliana na ujinga wa kipindi kile ambao wewe unataka kuwaaminisha watu kwamba ulikua ni best practice. Wala sitakuja nikubaliane na ujinga wa SASHA ambao umeanza kujidhihiri kupitia teuzi hizi.
Kuhusu huyo Jokate, unajua kuna wangapi wana uwezo kumzidi na wameachwa? Tena ilitakiwa this time awekwe kando ili kutoa nafasi kwa wengine na yeye aende mtaani akayaishi kwa vitendo yote aliyokua anayasimamia tena sasa hivi ameshaongeza connections kibao angewwza kuwa inspire vijana kutotegemea teuzi.
Ujinga wa mwendazake uliondoka naye, huu ni wakati wa ujinga mpya
Unaumia sana yani!

Kwani ukifikiri Samia atateua kwa kufuata bavicha wanasema nini?
 
Unaumia sana yani!

Kwani ukifikiri Samia atateua kwa kufuata bavicha wanasema nini?
Anayeumia ni nani? Viashiria vyote vinaonyesha anayeumia ni nyie mnaolazimisha mambo ya aliyeenda zake
 
Huyu jokate, u-dc unamfaa na ndio anaiweza.....uwaziri sio size yake. Atavuruga
Kwani uwaziri una kilo ngap??
Na mm pia nimekuwa nikisema ilo huyu dada kumpeleka kwa wahuni pale TMK ni kumuharibu kipawa chake.....
Jokate alistahili apelekwe Nachingwea ,Masasi, au wilaya ya kibaha Vijijini au wilaya yoyote ambayo ni remote
Ana kipawa cha kuamsha maendeleo maana kisarawe ya leo sio ile ya miaka 5 nyuma .... Kuikomboa jamii iliyo kuwa imelala ni kazi ngumu sana
Kweli ndugu!
 
Back
Top Bottom