Rais Samia, tunakusubiri kwenye U-DAS na Watumishi wa Umma

Rais Samia, tunakusubiri kwenye U-DAS na Watumishi wa Umma

Nafasi ya DAS=Nafasi ya kiutendaji lazima mtumishi awe na uzoefu na taratibu za Utumishi wa umma unaozingatia sheria,kanuni na taratibu.
Nafasi ya DED=Nafasi ya kiutendaji lazima mtumishi awe na uzoefu na taratibu za Utumishi wa umma unaozingatia sheria,kanuni na taratibu.

Katika nafasi hizo hapo juu,ndipo maana ya utawala bora inapopatikana,na awamu hii inataka kurekebisha makosa yaliyojitokeza hapo nyuma(maana mtawala yule hizo nafasi mbili aliwapa makada,wakajikuta wateuliwa wote wana uchu wa nafasi za kisiasa,na wengi wao walikuwa hawajui taratibu za kiserikali) na kufanya eneo la utawala kuwa na malumbano yasiyo isha,na kutunishiana misuli.Kwa kweli tulicheleweshewa maendeleo!
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hakuna jipya tena, madudu ni yale yale. Usitegemee huyu mama atakuwa na weredi wa kuteua DED. Nakuambia hakuna. Huyu mama yetu kwenye uteuzi hayuko serious, anabahatisha mnoo. Embu tazama haya;
-Kwenye makamu wa Rais (Alichemka vibaya)
-Baraza la mawaziri (Alichemka vibaya)
-Mabalozi (Alichemka kiasi)
-Wakuu wa mikoa (Alichemka vibaya)
-Wakuu wa wilaya (Amechemka vibaya sana)
Acha kabisa JPM aliharibu ila huyu anadhirisha kuwa yeye na mwendazake ni kitu kimoja
 
Sifa ni kuw mtz mchapakazi mwaminifu na mzalendo na pia mwelevu siyo lazima awe public servant mkuu!
Huna unalolifahamu mkuu. Kuna tofauti ya vyeo vya kiutendaji na vya kisisasa ndio maana migogoro imejaa maana unateua Mwandishi kuwa DED unategemea nini (Ref DED wa MBULU)
 
Haahaa maded tutegemee walioshindwa ubunge kwenye kura za maoni, pia watoto na maswahiba wa wakubwa hasa jamaa za jk.Mama afuate sheria za utumishi wa umma, awaombe utumishi wamfanyie vetting ya kutisha ateue watumishi wa umma walio waadilifu, wenye weledi, pia bila kujuana.Wakurugenzi Ni watu muhimu Sana kwa maendeleo ya wilaya au manispaa
Shida ndio ipo hapo , JPM mlisema hashauriki na huyu nae hivyo hivyo?? Mbona sheria zipo wazi tu
 
Ilikuwa taratibu za kiutumishi kwamba vyeo vya kiutendaji wa kiserikali kama Katibu Wakuu wa Wiraza na Naibu wao, Katibu Tawala wa Mkoa na Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri ya Jiji, Manispaa, Wilaya na Miji kuwa ni Watendaji Wakuu au Waandamizi wa Utumishi wa Umma na sio wanachama wa vyama vya Siasa.

Kwa hiyo tunategemea "mkeka" ujao hautakuwa na MAKADA au wanasiasa wa chama chochote cha siasa, maana umeamua kufuata Katiba na Sheria.

Nikutakie uteuzi mwema mama usinisahau na mimi[emoji41]

Kumbuka kufuata Sheria ya Utumishi wa Umaa Sura 298 Marejeo ya Mwaka 2009.
Walio kwenye sekta binafsi wao vipi?? Hawana nafasi?
 
Nafasi ya DAS=Nafasi ya kiutendaji lazima mtumishi awe na uzoefu na taratibu za Utumishi wa umma unaozingatia sheria,kanuni na taratibu.
Nafasi ya DED=Nafasi ya kiutendaji lazima mtumishi awe na uzoefu na taratibu za Utumishi wa umma unaozingatia sheria,kanuni na taratibu.

Katika nafasi hizo hapo juu,ndipo maana ya utawala bora inapopatikana,na awamu hii inataka kurekebisha makosa yaliyojitokeza hapo nyuma(maana mtawala yule hizo nafasi mbili aliwapa makada,wakajikuta wateuliwa wote wana uchu wa nafasi za kisiasa,na wengi wao walikuwa hawajui taratibu za kiserikali) na kufanya eneo la utawala kuwa na malumbano yasiyo isha,na kutunishiana misuli.Kwa kweli tulicheleweshewa maendeleo!
Asante mkuu[emoji1756][emoji1756][emoji1756]
 
Hadi mtangazaji wa shilawadu angeweza kuteuliwa DED, hali ilikuwa ya kukatisha tamaa kwa watumishi wa umma...
Wajinga WALIBAKA na WANABAKA Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma
 
Ilikuwa taratibu za kiutumishi kwamba vyeo vya kiutendaji wa kiserikali kama Katibu Wakuu wa Wiraza na Naibu wao, Katibu Tawala wa Mkoa na Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri ya Jiji, Manispaa, Wilaya na Miji kuwa ni Watendaji Wakuu au Waandamizi wa Utumishi wa Umma na sio wanachama wa vyama vya Siasa.

Kwa hiyo tunategemea "mkeka" ujao hautakuwa na MAKADA au wanasiasa wa chama chochote cha siasa, maana umeamua kufuata Katiba na Sheria.

Nikutakie uteuzi mwema mama usinisahau na mimi[emoji41]

Kumbuka kufuata Sheria ya Utumishi wa Umaa Sura 298 Marejeo ya Mwaka 2009.
Subiri mshtuko😜! Mamlaka aliyonayo rais wetu hayamfungi hivyo akiamua vinginevyo!
 
Back
Top Bottom