Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisa JPM aliharibu ila huyu anadhirisha kuwa yeye na mwendazake ni kitu kimojaDalili ya mvua ni mawingu, hakuna jipya tena, madudu ni yale yale. Usitegemee huyu mama atakuwa na weredi wa kuteua DED. Nakuambia hakuna. Huyu mama yetu kwenye uteuzi hayuko serious, anabahatisha mnoo. Embu tazama haya;
-Kwenye makamu wa Rais (Alichemka vibaya)
-Baraza la mawaziri (Alichemka vibaya)
-Mabalozi (Alichemka kiasi)
-Wakuu wa mikoa (Alichemka vibaya)
-Wakuu wa wilaya (Amechemka vibaya sana)
Huna unalolifahamu mkuu. Kuna tofauti ya vyeo vya kiutendaji na vya kisisasa ndio maana migogoro imejaa maana unateua Mwandishi kuwa DED unategemea nini (Ref DED wa MBULU)Sifa ni kuw mtz mchapakazi mwaminifu na mzalendo na pia mwelevu siyo lazima awe public servant mkuu!
We ACHA KABISAWamo na walimbwende wa miaka ile, sijui huku Shitimbi wataweza kuishi kweli na wameshozoea maisha ya kula bata jijini
Shida ndio ipo hapo , JPM mlisema hashauriki na huyu nae hivyo hivyo?? Mbona sheria zipo wazi tuHaahaa maded tutegemee walioshindwa ubunge kwenye kura za maoni, pia watoto na maswahiba wa wakubwa hasa jamaa za jk.Mama afuate sheria za utumishi wa umma, awaombe utumishi wamfanyie vetting ya kutisha ateue watumishi wa umma walio waadilifu, wenye weledi, pia bila kujuana.Wakurugenzi Ni watu muhimu Sana kwa maendeleo ya wilaya au manispaa
Walio kwenye sekta binafsi wao vipi?? Hawana nafasi?Ilikuwa taratibu za kiutumishi kwamba vyeo vya kiutendaji wa kiserikali kama Katibu Wakuu wa Wiraza na Naibu wao, Katibu Tawala wa Mkoa na Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri ya Jiji, Manispaa, Wilaya na Miji kuwa ni Watendaji Wakuu au Waandamizi wa Utumishi wa Umma na sio wanachama wa vyama vya Siasa.
Kwa hiyo tunategemea "mkeka" ujao hautakuwa na MAKADA au wanasiasa wa chama chochote cha siasa, maana umeamua kufuata Katiba na Sheria.
Nikutakie uteuzi mwema mama usinisahau na mimi[emoji41]
Kumbuka kufuata Sheria ya Utumishi wa Umaa Sura 298 Marejeo ya Mwaka 2009.
ameibananga nchiNi kweli poti. Wakurugenzi wamejaa makada hata taratibu za kiutumishi hawazijui. Mwendazake ameharibu sana nchii hii
Mkuu wewe make sure unatunza ID yako sitakusahau[emoji41]Walio kwenye sekta binafsi wao vipi?? Hawana nafasi?
Baba yako home ni.mzembe pekee sio sisiHawa watumishi wazembe ndio wateuliwe? Mara mia hata hao UVCCM
Hajui chochoteHii ni kwa mujibu wa mwenda zake. Je katiba na sheria zinasemaje?
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Huna akili.
Mamlaka ya Rais hata wewe hujui ni kwamba anapaswa kufuata Sheria za nchiNaona hujayajua bado mamlaka ya rais wa JMT ww[emoji12]!
Meaning???Yagangwe yajayo...
Asante mkuu[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Nafasi ya DAS=Nafasi ya kiutendaji lazima mtumishi awe na uzoefu na taratibu za Utumishi wa umma unaozingatia sheria,kanuni na taratibu.
Nafasi ya DED=Nafasi ya kiutendaji lazima mtumishi awe na uzoefu na taratibu za Utumishi wa umma unaozingatia sheria,kanuni na taratibu.
Katika nafasi hizo hapo juu,ndipo maana ya utawala bora inapopatikana,na awamu hii inataka kurekebisha makosa yaliyojitokeza hapo nyuma(maana mtawala yule hizo nafasi mbili aliwapa makada,wakajikuta wateuliwa wote wana uchu wa nafasi za kisiasa,na wengi wao walikuwa hawajui taratibu za kiserikali) na kufanya eneo la utawala kuwa na malumbano yasiyo isha,na kutunishiana misuli.Kwa kweli tulicheleweshewa maendeleo!
Wajinga WALIBAKA na WANABAKA Sheria na Kanuni za Utumishi wa UmmaHadi mtangazaji wa shilawadu angeweza kuteuliwa DED, hali ilikuwa ya kukatisha tamaa kwa watumishi wa umma...
Mwendazake alituharibia Sana nji hiiNi kweli poti. Wakurugenzi wamejaa makada hata taratibu za kiutumishi hawazijui. Mwendazake ameharibu sana nchii hii
Yule jamaa alizingua saana[emoji35][emoji35][emoji35]Mwendazake alituharibia Sana nji hii
Subiri mshtuko😜! Mamlaka aliyonayo rais wetu hayamfungi hivyo akiamua vinginevyo!Ilikuwa taratibu za kiutumishi kwamba vyeo vya kiutendaji wa kiserikali kama Katibu Wakuu wa Wiraza na Naibu wao, Katibu Tawala wa Mkoa na Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri ya Jiji, Manispaa, Wilaya na Miji kuwa ni Watendaji Wakuu au Waandamizi wa Utumishi wa Umma na sio wanachama wa vyama vya Siasa.
Kwa hiyo tunategemea "mkeka" ujao hautakuwa na MAKADA au wanasiasa wa chama chochote cha siasa, maana umeamua kufuata Katiba na Sheria.
Nikutakie uteuzi mwema mama usinisahau na mimi[emoji41]
Kumbuka kufuata Sheria ya Utumishi wa Umaa Sura 298 Marejeo ya Mwaka 2009.