Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Bandugu kwema?
Kama kichwa cha habari kinavosomeka apo juu, naomba mh Rais aingilie kati suala hili otherwise tutasusia ama kuandamana.
Wamepunguza MB gharama imebakia ileile ya mwanzo, maana yake nini kutukomoa ama ninii!!! Kana vipi na gharama za kununua vifurushi zipungue.
Hii siyo haki aisee, nimeruka mkojo nakanyaga maavi(nimehama Tigo sababu ya vifurushi kupanda bei na mtandao kukwamakwama, clips zinatake time kufunguka, nimehamia haloteli nako nikadhani kuna unafuu upande wa internet kama ilivyo apo mwanzo,,,aisee nimejiunga GB za kutosha bandugu, dakika chache and internet iko very very slow, inakwama, nilikuwa nacheki game ya Spain na Italy mwishoe nikaamua kughaili tu 😡
Halotel na mitandao yote Mungu anawaona. Nikisema nirudi Tigo nakutana na bei kubwa za vifurushi, dahh akili imesizi hapa.
MUHESHIMIWA RAIS INGILIA KATI SUALA HILI.
Kama kichwa cha habari kinavosomeka apo juu, naomba mh Rais aingilie kati suala hili otherwise tutasusia ama kuandamana.
Wamepunguza MB gharama imebakia ileile ya mwanzo, maana yake nini kutukomoa ama ninii!!! Kana vipi na gharama za kununua vifurushi zipungue.
Hii siyo haki aisee, nimeruka mkojo nakanyaga maavi(nimehama Tigo sababu ya vifurushi kupanda bei na mtandao kukwamakwama, clips zinatake time kufunguka, nimehamia haloteli nako nikadhani kuna unafuu upande wa internet kama ilivyo apo mwanzo,,,aisee nimejiunga GB za kutosha bandugu, dakika chache and internet iko very very slow, inakwama, nilikuwa nacheki game ya Spain na Italy mwishoe nikaamua kughaili tu 😡
Halotel na mitandao yote Mungu anawaona. Nikisema nirudi Tigo nakutana na bei kubwa za vifurushi, dahh akili imesizi hapa.
MUHESHIMIWA RAIS INGILIA KATI SUALA HILI.