Rais Samia, tunaomba Wakuu wa Wilaya wa Tarime na Rorya watoke vyombo vya ulinzi na usalama

Rais Samia, tunaomba Wakuu wa Wilaya wa Tarime na Rorya watoke vyombo vya ulinzi na usalama

Cosovo

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2018
Posts
667
Reaction score
1,810
Mh Rais kwa asili ya watu wa haya maeneo fujo, ubabe na kulindana pia hizi wilaya kuna baadhi ya wakulima wa bangi ,watumiaji na wasafirishaji na wizi wa mifugo, uvamizi na unyang'anyi wa kutumia silaha na ikizangatia haya mambo yanahusisha na nchi jirani (mpakani)

Naomba ubadilishe mkuu wa wilaya ya Rorya mlete mkuu wa wilaya ambaye atatokana na vyombo vya ulinzi na usalama ili kuimarisha usalama wa wananchi wa mpakani.

Kwa Tarime sawa ila kwa Rorya na Serengeti bado,tunataka wakuu wa wilaya watoke vyombo vya ulinzi na usalama ili kudhibiti vitendo vya kiharifu vilivyoanza kushamiri siku za karibuni.

Naomba mh Rais ufanye hivyo
 
Si wanasema wamefanya vetting nadhan wameona anafaa tumpe muda bwana CHOPA WA MCHOPANGA huenda akafanikiwa mkuu
 
Chopa mchopanga. Experience please maana ni shida
 
Mh Rais kwa asili ya watu wa haya maeneo fujo, ubabe na kulindana pia hizi wilaya kuna baadhi ya wakulima wa bangi ,watumiaji na wasafirishaji na wizi wa mifugo, uvamizi na unyang'anyi wa kutumia silaha na ikizangatia haya mambo yanahusisha na nchi jirani (mpakani)

Naomba ubadilishe mkuu wa wilaya ya Rorya mlete mkuu wa wilaya ambaye atatokana na vyombo vya ulinzi na usalama ili kuimarisha usalama wa wananchi wa mpakani.

Kwa Tarime sawa ila kwa Rorya na Serengeti bado,tunataka wakuu wa wilaya watoke vyombo vya ulinzi na usalama ili kudhibiti vitendo vya kiharifu vilivyoanza kushamiri siku za karibuni.

Naomba mh Rais ufanye hivyo
Watu wa Rorya mna hasira hasira na stress. Mmeletewa mchekeshaji.
IMG_20210620_174641.jpg
 
Mchekeshaji aliye kazini zaidi...mtaelewana tu
 
Mwanzoni ilikuwa inaaminika hao viongozi wa vyombo vyombo vya dola wako makini, lakini uhalisia umedhibitisha kinyume chake. Hao viongozi wa vyombo vya dola nao wamegeuka ni sehemu ya kushiriki siasa chafu, na kuacha kusimamia haki na utawala wa sheria.
 
Hivi ukiwa unasoma unaanzia chini kwenda juu hama inakuwaje?.

DC wa tarime ni kamanda labda huyo wa huko kwenu ndiye mchekeshaji.
Screenshot_20210620_221609.jpg
 
Mh Rais kwa asili ya watu wa haya maeneo fujo, ubabe na kulindana pia hizi wilaya kuna baadhi ya wakulima wa bangi ,watumiaji na wasafirishaji na wizi wa mifugo, uvamizi na unyang'anyi wa kutumia silaha na ikizangatia haya mambo yanahusisha na nchi jirani (mpakani)

Naomba ubadilishe mkuu wa wilaya ya Rorya mlete mkuu wa wilaya ambaye atatokana na vyombo vya ulinzi na usalama ili kuimarisha usalama wa wananchi wa mpakani.

Kwa Tarime sawa ila kwa Rorya na Serengeti bado,tunataka wakuu wa wilaya watoke vyombo vya ulinzi na usalama ili kudhibiti vitendo vya kiharifu vilivyoanza kushamiri siku za karibuni.

Naomba mh Rais ufanye hivyo
Kumbe mnataka !? Mbona mtataka hadi haramu?
 
Rorya hakuna shida kabisa tulikua hatumtaki tu ODUNGA
Alikua ni uzao wa mwenda zake alaf hakuna na uwelidi wa kazi.
Tuacheni na chopanga wetu lakini sio hawa walioletwa kwa ajili ya kukomesha au kudhoofisha chadema.
 
Kwani waliopita walikua wanatokana na vyombo vya majeshi ama unataka kumtisha tu mama na Dc mteule? Kabla ya Odunga alikuwepo Saimon Chacha kabla yake alikuwepo Lihaniva etc hao wote hawakua wa vyombo vya ulinzi. Dc anakwenda kuongoza sio kwenda kushika bunduki, hali ya hatari inapotokea anaamuru tu vijana wake wanafanya kazi. Kenya ni moja ya mipaka tulivu sana huwezi linganisha na mipaka mingine pia Tarime/Rorya kwa sasa ni moja ya maeneo tulivu ukilinganisha na huko nyuma.
 
Nikiangalia hii picha, halafu nikawaza jamaa kaenda hadi india kusomea sanaa nachoka!!
Kuna dada Mwanza wakishua alisomea degree na masters U.S.A akarudi bongo anapika makande mtafute youtube. Haijalishi uliposomea chamsingi elimu uliyoipata umeitumiaje kukukomboa wewe na Taifa lako.
 
Back
Top Bottom