johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Samia amesema CCM itaendeleza Vikao vya Maridhiano kwa vyama vyote vya siasa kwa mustakabali mwema wa siasa za nchi yetu
Hata hivyo Rais Samia amewataka viongozi wa Kisiasa kumkumbuka kuwa CCM ni Chama Tawala kilichopewa ridhaa ya kuongoza na Wananchi wenyewe
Chanzo: TBC
Hata hivyo Rais Samia amewataka viongozi wa Kisiasa kumkumbuka kuwa CCM ni Chama Tawala kilichopewa ridhaa ya kuongoza na Wananchi wenyewe
Chanzo: TBC