Rais Samia: Tunawakaribisha Wapinzani kwenye Maridhiano ila wasisahau kuwa CCM ndio Chama Tawala kilichopewa ridhaa na Wananchi!

Rais Samia: Tunawakaribisha Wapinzani kwenye Maridhiano ila wasisahau kuwa CCM ndio Chama Tawala kilichopewa ridhaa na Wananchi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Samia amesema CCM itaendeleza Vikao vya Maridhiano kwa vyama vyote vya siasa kwa mustakabali mwema wa siasa za nchi yetu

Hata hivyo Rais Samia amewataka viongozi wa Kisiasa kumkumbuka kuwa CCM ni Chama Tawala kilichopewa ridhaa ya kuongoza na Wananchi wenyewe

Chanzo: TBC
 
.
JamiiForums-1699600563.jpg
 
Back
Top Bottom