GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
GENTAMYCINE nawaomba tu hao 'Team Mikakati Awamu ya 6' wajitahidi kwa sasa kubadili Mbinu za Kuungua 'Kimkakati' kwa 'Masoko Makubwa' nchini kwani kwa sasa hata Mtoto Mdogo ameshajua kuwa nia ni 'Kuwakomoa' Wamachinga waliokuwa Wakipendwa na Hayati na pia kuruhusu Ujenzi mpya wa Masoko ili Watu fulani fulani wapige Pesa na pia 'Mshauri Mswahili' kupitia Marafiki na Washirika wake Kibiashara wapewe Tenda na Yeye awekeze humo humo kwa Kificho kama afanyavyo kwa Wadhamini Wakuu wa Yanga SC akina GSM.
Soko Kuu (Kubwa) la Kariakoo limeungua (ila GENTAMYCINE nasema limeunguzwa Kimkakati) tokea mwaka jana na mpaka leo Kamati haijaja na Ripoti yoyote ile.
Ila muda wa Kumkandia Ndugai wa Watu ulikuwepo na pia muda wa kurudia mara kwa mara kutolea Ufafanuzi (ambao hata hivyo wenye Akili Kubwa hatujauelewa) upo ila wa ama Kukemea hawa Wahuni (Crooks) wanaochoma Masoko Makubwa kwa Makusudi nchini au hata Kuwakamata upesi haupo.
Endeleeni tu kutufanya Sisi ni Wapuuzi.
Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
Soko Kuu (Kubwa) la Kariakoo limeungua (ila GENTAMYCINE nasema limeunguzwa Kimkakati) tokea mwaka jana na mpaka leo Kamati haijaja na Ripoti yoyote ile.
Ila muda wa Kumkandia Ndugai wa Watu ulikuwepo na pia muda wa kurudia mara kwa mara kutolea Ufafanuzi (ambao hata hivyo wenye Akili Kubwa hatujauelewa) upo ila wa ama Kukemea hawa Wahuni (Crooks) wanaochoma Masoko Makubwa kwa Makusudi nchini au hata Kuwakamata upesi haupo.
Endeleeni tu kutufanya Sisi ni Wapuuzi.
Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto