Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hii ni moja ya Wizara ambayo imepata mawaziri Wa Hovyo sana. Hatujui ni nini kinafanya Huyu Dr. Gwajima aendelee kufanya sarakasi zake zisizo na Tija katika Wizara nyeti kama hiyo.
Kwa nini huoni kama kuna shida? Wizara hii haihitaji Mipasho, vichekesho na Propaganda. Inataka mtu ambaye yupo serious na kazi. Huyu Waziri Gwajima Dr. Na Naibu wake hawafai. Ondoa watu hao.
Tukimwangalia huyu Waziri Gwajima na Naibu tunaona hata hizo Chanjo nazo zitakuwa na usanii sanii tu. Siyo serious. Hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye anaweza wasikiliza Mawaziri hawa na kwenda kuchanja.
Wengi wakisikiliza Mawaziri hawa ndio wanakata tamaa kabisa ya kuchanja. Hawa walituaminisha Chanjo hizi hazifai. Ni biashara haiwezekani chanjo ikawa ndani ya mwaka mmoja. Leo watatuaminisha vipi zinafaa? Rais tuondolee hawa waigizaji.
Kwa nini huoni kama kuna shida? Wizara hii haihitaji Mipasho, vichekesho na Propaganda. Inataka mtu ambaye yupo serious na kazi. Huyu Waziri Gwajima Dr. Na Naibu wake hawafai. Ondoa watu hao.
Tukimwangalia huyu Waziri Gwajima na Naibu tunaona hata hizo Chanjo nazo zitakuwa na usanii sanii tu. Siyo serious. Hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye anaweza wasikiliza Mawaziri hawa na kwenda kuchanja.
Wengi wakisikiliza Mawaziri hawa ndio wanakata tamaa kabisa ya kuchanja. Hawa walituaminisha Chanjo hizi hazifai. Ni biashara haiwezekani chanjo ikawa ndani ya mwaka mmoja. Leo watatuaminisha vipi zinafaa? Rais tuondolee hawa waigizaji.