Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Leo si jana.....Kabla ya mwezi wa 3 alikuwa hayajui hayo?
Yale yaleLeo si jana.....
Yale yale
Hana lolote huyu bibi ni mtu hatari snAlipokuwa na Mwendazake hata barakoa alikuwa havai, alibinafsisha akili zake?
Akili zimerudi baada ya aliyemshikia akili kufa?
Wanafiki hawaingii mbinguni!
Unawezaje kwenda kinyume na BOSS wako?!!!Alipokuwa na Mwendazake hata barakoa alikuwa havai, alibinafsisha akili zake?
Akili zimerudi baada ya aliyemshikia akili kufa?
Wanafiki hawaingii mbinguni!
Hatari yake ni hii hapa....Hana lolote huyu bibi ni mtu hatari sn
Kweli kabisa R.I.P Kijazi, Injinia mzima msomi unaambiwa Corona haipo na unaamini.Unawezaje kwenda kinyume na BOSS wako?!!!
Kidogo hebu tujitoe katika UROBOT na kuvaa UBINADAMU....🤣🤣
Ukijitoa katika UROBOT utajikumbusha kuwa BOSS hanuniwi.....mh.Rais SSH alikuwa ni makamu wa Rais......Huyu si ndo enzi za Mwendazake alisema Mataifa ya nje yana cha kujifunza kutoka kwetu namna Magufuli anavyopambana na Corona?
Huyu bibi atakuwa mwanga nahisi.Huyu si ndo enzi za Mwendazake alisema Mataifa ya nje yana cha kujifunza kutoka kwetu namna Magufuli anavyopambana na Corona?
Sawa bossHatari yake ni hii hapa....View attachment 1978516
Akina mh.Ummy hawakuvaa BARAKOA...bado tunaoKweli kabisa R.I.P Kijazi, Injinia mzima msomi unaambiwa Corona haipo na unaamini.
Endelea kuufukuza upepo 🤣Huyu bibi atakuwa mwanga nahisi.
Mama yuko sahihi,halafu kuna Long Covid.Pia amesema ukipata corona kupona au kufa ni hamsini kwa hamsini, na kuna uwezekano mkubwa wa mtu kufariki