Rais Samia ukirudi kutoka ziarani Marekani na Cuba tuletee zawadi hii: Uwe umejifunza demokrasia ya vyama vingi na uchaguzi huru na wa haki

Rais Samia ukirudi kutoka ziarani Marekani na Cuba tuletee zawadi hii: Uwe umejifunza demokrasia ya vyama vingi na uchaguzi huru na wa haki

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Sio bahati mbaya rais Samia amekwenda Marekani wakati huu taifa hilo lenye nguvu zaidi duniani likiwa katikati ya mtanange mkali wa uchaguzi. Na mara hii ni kati ya mhafidhina Donald Trump na mwanamama Kamala Harris.

Mtu hawezi kushindwa kufikiri kuwa kimya kimya rais Samia amekuwa kwenye kampeni za urais wa Marekani kwa kujua ama kwa kutojua. Hii ni mara ya pili rais Samia anakwenda Marekani ndani ya kipindi cha takriban mwaka mmoja hivi.

Wamarekani wakati huu wa uchaguzi wakimwona rais mwanamke tena kutoka nchi ya dunia ya tatu ambapo demokrasia ni majaaliwa tu basi wamarekani wanajisikia kuwa nyuma ki-demokrasia na jambo hili linaweza kuathiri maamuzi yao wakati wa upigaji kura.

Ama kweli siasa ni sayansi na ingekuwa tunafanya siasa zetu kisayansi tungekuwa mbali sana.

Swali ni je, rais Samia atarudi amejifunza nini kuhusu demokrasia na uchaguzi huru na wa haki? Je Samia ataguswa kujenga mazingira yanayoruhusu uchaguzi kufanyika chini ya tume huru ya uchaguzi? Je Samia atajifunza “fair play “ kwenye chaguzi zetu ambazo Tumeona wagombea wengi wakipitishwa bila kupingwa huku wapinzani wakienguliwa bila sababu za msingi?

Hiyo ndio zawadi tunayoisubiri kutoka kwa rais wetu mama Samia pindi arudipo kutoka ziarani Marekani na Cuba.
 
Sio bahati mbaya rais Samia amekwenda Marekani wakati huu taifa hilo lenye nguvu zaidi duniani likiwa katikati ya mtanange mkali wa uchaguzi. Na mara hii ni kati ya mhafidhina Donald Trump na mwanamama Kamala Harris.

Mtu hawezi kushindwa kufikiri kuwa kimya kimya rais Samia amekuwa kwenye kampeni za urais wa Marekani kwa kujua ama kwa kutojua. Hii ni mara ya pili rais Samia anakwenda Marekani ndani ya kipindi cha takriban mwaka mmoja hivi.

Wamarekani wakati huu wa uchaguzi wakimwona rais mwanamke tena kutoka nchi ya dunia ya tatu ambapo demokrasia ni majaaliwa tu basi wamarekani wanajisikia kuwa nyuma ki-demokrasia na jambo hili linaweza kuathiri maamuzi yao wakati wa upigaji kura.

Ama kweli siasa ni sayansi na ingekuwa tunafanya siasa zetu kisayansi tungekuwa mbali sana.

Swali ni je, rais Samia atarudi amejifunza nini kuhusu demokrasia na uchaguzi huru na wa haki? Je Samia ataguswa kujenga mazingira yanayoruhusu uchaguzi kufanyika chini ya tume huru ya uchaguzi? Je Samia atajifunza “fair play “ kwenye chaguzi zetu ambazo Tumeona wagombea wengi wakipitishwa bila kupingwa huku wapinzani wakienguliwa bila sababu za msingi?

Hiyo ndio zawadi tunayoisubiri kutoka kwa rais wetu mama Samia pindi arudipo kutoka ziarani Marekani na Cuba.

Democracy ya kuhongwa America. Wabunge Hawana sauti yoyote na raisi wao wote wanamtegemea mteule wao washinde kwa kuwalipia. Hawana chochote kundi moja la wizi na lingine la uuwaji. Hakuna chochote


View: https://youtube.com/shorts/yBz3vjLgpp8?si=wq2Uy3guM4ET9cRV
 
Atakubaliana pia na ushauri wa kustaafu 2025 na kuwaachia vijana wenye nguvu mikikimikiki ya siasa za Tanzania
 
Sio bahati mbaya rais Samia amekwenda Marekani wakati huu taifa hilo lenye nguvu zaidi duniani likiwa katikati ya mtanange mkali wa uchaguzi. Na mara hii ni kati ya mhafidhina Donald Trump na mwanamama Kamala Harris.

Mtu hawezi kushindwa kufikiri kuwa kimya kimya rais Samia amekuwa kwenye kampeni za urais wa Marekani kwa kujua ama kwa kutojua. Hii ni mara ya pili rais Samia anakwenda Marekani ndani ya kipindi cha takriban mwaka mmoja hivi.

Wamarekani wakati huu wa uchaguzi wakimwona rais mwanamke tena kutoka nchi ya dunia ya tatu ambapo demokrasia ni majaaliwa tu basi wamarekani wanajisikia kuwa nyuma ki-demokrasia na jambo hili linaweza kuathiri maamuzi yao wakati wa upigaji kura.

Ama kweli siasa ni sayansi na ingekuwa tunafanya siasa zetu kisayansi tungekuwa mbali sana.

Swali ni je, rais Samia atarudi amejifunza nini kuhusu demokrasia na uchaguzi huru na wa haki? Je Samia ataguswa kujenga mazingira yanayoruhusu uchaguzi kufanyika chini ya tume huru ya uchaguzi? Je Samia atajifunza “fair play “ kwenye chaguzi zetu ambazo Tumeona wagombea wengi wakipitishwa bila kupingwa huku wapinzani wakienguliwa bila sababu za msingi?

Hiyo ndio zawadi tunayoisubiri kutoka kwa rais wetu mama Samia pindi arudipo kutoka ziarani Marekani na Cuba.
Maandalizi ya zawadi ya Rais yanaendelea vizuri sana.

Watanzani wamemuandalia Rais na kipenzi chao Dr.Samia Suluhu Hassan zawadi ya ushindi wa kishindo kwa wagombea makini wa CCM kwenye mitaa, vijiji na vitongoji vyote nchi nzima Nov 27, 2024.🐒

God bless you Dr Samia Suluhu Hassan 🌹
 
Demokrasia ni zao la jamii, ni DNA ya jamii, huwezi kuazima, nguo ya kuazima haijawahi kusitiri.

Ndio maana kuna watu wanajaribu kuwashinikiza waTz waandamane, lakini way back nlin history, ha kuna asili ya kuandamana.

Hata upinzani (wa vyama vya siasa) ni strange creature in Afrika. Afrika hatuna asili ya kupinga pinga tangu enzi na enzi
 
Maandalizi ya zawadi ya Rais yanaendelea vizuri sana.

Watanzani wamemuandalia Rais na kipenzi chao Dr.Samia Suluhu Hassan zawadi ya ushindi wa kishindo kwa wagombea makini wa CCM kwenye mitaa, vijiji na vitongoji vyote nchi nzima Nov 27, 2024.🐒

God bless you Dr Samia Suluhu Hassan 🌹
Huo ndio uharamia wa ki-demokrasia wa ushindi wa kishindo huku wapinzani wakinyimwa hata kuandamana kwa amani. N aibu kubwa kwake na kwa wote wanaosapoti uharamia huu!
 
Sijakuelewa

Nitakueimisha. Mbunge wa Ireland nchi ya Ulaya iliyo na Wakiristo wa Protestant na Roman Catholic ni nchi inayotetea haki sawa za binadamu wote. Mbuge huyu anamuombea Benjamin Netanyahu aingizwe motoni akifa tena ule moto uliowaka saana kwa sababu kauona ukatili wake wa kupindukiA.
Je wewe mgalatia ni nini ufahari wako wa kujihusisha na jina hilo?

Kama ni udini, huyo Hamtambui Yesu imani yao onawaambia Yesu ni mwana haramu, mama yake Yesu Maria malaya na alizaa haramu na ukiristo hawautambui ndio maana wanawatemea mapadri mate huko Jerusalem na Bethlehem na kupiga mabomu makanisa lebanoni.
 
Huo ndio uharamia wa ki-demokrasia wa ushindi wa kishindo huku wapinzani wakinyimwa hata kuandamana kwa amani. N aibu kubwa kwake na kwa wote wanaosapoti uharamia huu!


mnadhani wote wanakunywa pombe ee? kunyweni na muamue mambo yenu huko huko 🐒
 
mnadhani wote wanakunywa pombe ee? kunyweni na muamue mambo yenu huko huko 🐒
Huko Marekani umemsikia Trump akisema Kamala must not cross over and she must go back home, lakini umesikia kwamba hilo limechukuliwa kama tusi ama tishio kwa amani ya Marekani?
 
Alishasema Mwalimu Nyerere wakati wa uchaguzi wakijindwa kutoa hoja watatumia udini, ukabila, uzanzibari na uzanzibara.
 
Atakubaliana pia na ushauri wa kustaafu 2025 na kuwaachia vijana wenye nguvu mikikimikiki ya siasa za Tanzania
Hili atajifunza vipi huko Marekani wakati wagombea wote ni wazee,Trump ana miaka 78 kamzidi raisi wa Tanzania kwa miaka 14.
Yani hapo hakuna kijana kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Sio bahati mbaya rais Samia amekwenda Marekani wakati huu taifa hilo lenye nguvu zaidi duniani likiwa katikati ya mtanange mkali wa uchaguzi. Na mara hii ni kati ya mhafidhina Donald Trump na mwanamama Kamala Harris.

Mtu hawezi kushindwa kufikiri kuwa kimya kimya rais Samia amekuwa kwenye kampeni za urais wa Marekani kwa kujua ama kwa kutojua. Hii ni mara ya pili rais Samia anakwenda Marekani ndani ya kipindi cha takriban mwaka mmoja hivi.

Wamarekani wakati huu wa uchaguzi wakimwona rais mwanamke tena kutoka nchi ya dunia ya tatu ambapo demokrasia ni majaaliwa tu basi wamarekani wanajisikia kuwa nyuma ki-demokrasia na jambo hili linaweza kuathiri maamuzi yao wakati wa upigaji kura.

Ama kweli siasa ni sayansi na ingekuwa tunafanya siasa zetu kisayansi tungekuwa mbali sana.

Swali ni je, rais Samia atarudi amejifunza nini kuhusu demokrasia na uchaguzi huru na wa haki? Je Samia ataguswa kujenga mazingira yanayoruhusu uchaguzi kufanyika chini ya tume huru ya uchaguzi? Je Samia atajifunza “fair play “ kwenye chaguzi zetu ambazo Tumeona wagombea wengi wakipitishwa bila kupingwa huku wapinzani wakienguliwa bila sababu za msingi?

Hiyo ndio zawadi tunayoisubiri kutoka kwa rais wetu mama Samia pindi arudipo kutoka ziarani Marekani na Cuba.
Ebu nielimishe kuhusu Demokrasia ya vyama vingi hapo Cuba? Hivi ujui mkuu mfumo wa uchaguzi wetu ni mzuri kuliko wa Marekani?
 
Mbona kama umekasirika jombaaa 😀 😀
Yes,
nimekasirika sana aise,
yaani jamaa moja mlevi kwa kuhamasishwa na kuchochewa na kilevi alichotumia, eti anakuja kuwashawishi waerevu wajitokeze kwenye maandamano haramu ya Samia must 🤣

halafu usiku wa manane baada ya hangover kwisha eti anaibuka tena, sio maandamano haramu ya Samia must go, yamebadilishwa jina usiku wa manane sijui alikua bar yule muungwana 🤣

hivi alikua anawaonaje Chadema lakini?🐒
 
Sio bahati mbaya rais Samia amekwenda Marekani wakati huu taifa hilo lenye nguvu zaidi duniani likiwa katikati ya mtanange mkali wa uchaguzi. Na mara hii ni kati ya mhafidhina Donald Trump na mwanamama Kamala Harris.

Mtu hawezi kushindwa kufikiri kuwa kimya kimya rais Samia amekuwa kwenye kampeni za urais wa Marekani kwa kujua ama kwa kutojua. Hii ni mara ya pili rais Samia anakwenda Marekani ndani ya kipindi cha takriban mwaka mmoja hivi.

Wamarekani wakati huu wa uchaguzi wakimwona rais mwanamke tena kutoka nchi ya dunia ya tatu ambapo demokrasia ni majaaliwa tu basi wamarekani wanajisikia kuwa nyuma ki-demokrasia na jambo hili linaweza kuathiri maamuzi yao wakati wa upigaji kura.

Ama kweli siasa ni sayansi na ingekuwa tunafanya siasa zetu kisayansi tungekuwa mbali sana.

Swali ni je, rais Samia atarudi amejifunza nini kuhusu demokrasia na uchaguzi huru na wa haki? Je Samia ataguswa kujenga mazingira yanayoruhusu uchaguzi kufanyika chini ya tume huru ya uchaguzi? Je Samia atajifunza “fair play “ kwenye chaguzi zetu ambazo Tumeona wagombea wengi wakipitishwa bila kupingwa huku wapinzani wakienguliwa bila sababu za msingi?

Hiyo ndio zawadi tunayoisubiri kutoka kwa rais wetu mama Samia pindi arudipo kutoka ziarani Marekani na Cuba.
Mwenzako ameenda kufuta kauli ³⅘ wewe unasema ajifunze demokrasia
 
Back
Top Bottom