Rais Samia uliwaalika tu Uwapendao wana Yanga ilikuwaje ghafla tena Ukawalazimisha Usiowapenda Simba nao waje Ikulu?

Rais Samia uliwaalika tu Uwapendao wana Yanga ilikuwaje ghafla tena Ukawalazimisha Usiowapenda Simba nao waje Ikulu?

Umejishtukia au? Wana Simba SC Msimamo Wetu ni ule ule kwa Kutuchukia Kwako na Kutupenda Kinafiki leo Ikulu Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025 hutopata Kura zetu wana Simba.
Screenshot_20230605-192423.jpg
 
Umejishtukia au? Wana Simba SC Msimamo Wetu ni ule ule kwa Kutuchukia Kwako na Kutupenda Kinafiki leo Ikulu Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025 hutopata Kura zetu wana Simba.
Bangi mbaya sana . Unafikiria raisi akialika waru ikulu yeye ndiyo anatoa kadi za mialiko kama mnavyoalikana kwenye arusi? Kuna watu wa protocol amka acha kuchukoa watu kwa petty issues za kunywa juice ikulu. Haya sasa viongozi wa simba walikuwepo
 
Poleni wana simba msimu umewagomea jitahidini msimu ujao, mlitaka mpongezwe na failure yenu? Acheni wivu, wivu wa kimichezo tusiuingize kwenye siasa za nchi yetu. Wajibu wa timu zetu zote ni kujitahidi kufika mbali zaidi ya tulipo!
 
Umejishtukia au? Wana Simba SC Msimamo Wetu ni ule ule kwa Kutuchukia Kwako na Kutupenda Kinafiki leo Ikulu Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025 hutopata Kura zetu wana Simba.
Labda kura za kiongoz wa ukoo, kama unafikir wanategemea kura zenu ndio watangazwe washindi bas imekula kwako mazima!!!
 
Umejishtukia au? Wana Simba SC Msimamo Wetu ni ule ule kwa Kutuchukia Kwako na Kutupenda Kinafiki leo Ikulu Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025 hutopata Kura zetu wana Simba.
Hapo na mtetea.kwani kawafanyia Nini baya? Amekuwa fair toka michuano imeanza
 
Umejishtukia au? Wana Simba SC Msimamo Wetu ni ule ule kwa Kutuchukia Kwako na Kutupenda Kinafiki leo Ikulu Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025 hutopata Kura zetu wana Simba.
Kura zenu hazimpeleki Ikulu hata wewe unajua Hilo vizuri

Za Yanga na wengine zinatosha na zisipotosha tunapora uchaguzi
 
Back
Top Bottom