Rais Samia, Ummy Mwalimu sio mtu wa haki; haendani na wewe

Rais Samia, Ummy Mwalimu sio mtu wa haki; haendani na wewe

Standards Person

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2021
Posts
672
Reaction score
860
Kama ambavyo imeonekana Mh. Rais amekua akihubiri watu kutendewa haki,ameonekana kuwa kivutio kwa makundi yote ya kijamii. Amekubalika hata na wanasiasa wa upinzani na sasa ajenda yao imebakiatu kuwa ni katiba mpya.

Mh. Rais amemuweka waziri wa TAMISEMI ambaye ni mzugaji hamaanishi juu ya yale anayoyasema.

Ummy hivi jana amemsimamisha mhandisi aliyekua anasimamia ujenzi pale maeneo ya Makumbusho.

Kama kweli Ummy angekua mtenda haki angeanza na mkurugenzi wake wa Tanga Jiji ambapo ni mfujaji wa mali za umma.
Yupo afisa elimu taaluma idara ya sekondari ambaye alibainisha wizi wa fedha za ujenzi zaidi ya milioni 14,uliofanywa na mkuu mmoja wa shule.

Afisa huyo amekua akifanya kazi katika mazingira magumu akaamua kuikimbia ofisi na sasa yupotu nyumbani. Ummy anayajua yote hayo. Kwanini hawaundii tume huru mkurugenzi na afisa elimu wake? Ummy Mungu anaijua dhamira yako kwamba umejawa na uonevu.

Mkuu huyo amesema amempa mkurugenzi hela na amegawana na afisa elimu. Ummy anajua na TAKUKURU wanajua lakini anawabana wengine kwake kumeoza.

Je, Ummy kwanini hachukui hatua huyu afisa aliyenyanyasika akaacha ofisi arudi ofisini?

Ummy amechangia madarasa katika shule kadhaa lakini huyo mkuu wa shule ambaye lake ni moja na mkurugenzi na afisa elimu,wamelila darasa hilo. Ummy anaumiatu moyoni hasemi.

Ofisini kwa afisa elimu kuna mtumishi mmoja hana cheo bali nirafikitu wa afisa elimu na alikuja na afisa elimu wakitokea Muheza, kwani Tanga hakuna shida ya walimu mpaka mtu akakaetu ofisini kwa afisa elimu bila cheo?Ummy wa TAMISEMI anajua.

Wiki kadhaa zilizopita wapo manaibu makatibu wa tume ya utumishi wa walimu (TSC) wa Tanga na Mkinga ambao walikua wanaiba hela kupitia akaunti zao. Karibu wa Mkinga amekua signatory Tanga na wa Tanga amekua signatory Mkinga.

TSC makao makuu wameleta timu yao lakini hakuna jipya. Je, wewe Ummy upo kwaajili ya halmashauri nyingine lakini mkoani kwako hushuhuliki?

Mh. Rais, Ummy hafai kuwa waziri kwani hatendi haki bali amekua rafiki wa wabadhirifu hivyo atakutia doa.

Mama ninashauri Ummy azinguliwe
 
Tume ya utumishi na utawala bora shughulikieni hili lakini pia Takukuru naombeni mtende haki hizi tuhuma za Tanga kuhusu mkurugenzi na afisa elimu zinaletwa hapa kwa mara ya pili shida ni nini kulishughulikia hili?

Au mnataka tuamini kuna watu nchi hii ni untouchable? Tafadhali wasaidizi wa rais mchukue hatua ili ku end up this suspicious kama ni za kweli wawajibishwe na kama ni za uongo wasafishwe.
 
Tume ya utumishi na utawala bora shughulikieni hili lakini pia Takukuru naombeni mtende haki hizi tuhuma za Tanga kuhusu mkurugenzi na afisa elimu zinaletwa hapa kwa mara ya pili shida ni nini kulishughulikia hili?

Au mnataka tuamini kuna watu nchi hii ni untouchable? Tafadhali wasaidizi wa rais mchukue hatua ili ku end up this suspicious kama ni za kweli wawajibishwe na kama ni za uongo wasafishwe.
Ummy mzugaji tu. Mamlaka nyingine ziingilie kati.
 
Mimi kila nikimpigia simu hapokei huyu mheshimiwa!na nina ahida kweli na ofisi yake, mwenye namba ya katibu wake aniPM wapendwa.
 
Hizi tuhuma zimepigiwa sana kelele hapa jf ,why hao watu wanaogopwa kiasi hicho ,utumishi wasipuuze hadi litokee jambo baya ,maana watu wakiona mamlaka zinawachukulia poa wanaamua kuchukua maamuz mkononi.

Kwa hizi dharau Kuna kiongozi atakuja tolewa mfano na wananchi wenye hasira kali itabaki tu kuwa tunge tunge ,bunduki hazifanyi kazi kwa watu waliochoka na uonezi .

Ummy mwalimu kasemwa sana hapa kuwa anawaogopa hao watu why uchunguzi usifanyike ili ukweli ujulikane Kama ni uzushi wasafishwe km ni kweli hatua zichukuliwe mapema iwezekanavyo.

Uchunguzi mbona ni wa siku chache tu kwa ofisi kama hizo ,pale pale ofisin waitwe watumishi wahojiwe kwa vimemo kila mtu afunguke ya moyon kujua utendaji kazi wa huyo jamaa pia waenda mbali kidogo hoji wananchi wa kawaida hata 20 tu majibu utayapata bila kutumia nguvu.

Ushauri ummy mwalimu Kama unapita hapa jichunge sana umekuwa mtu mwenye heshima kubwa sana na umeijenga kwa muda Sasa ila hili la huko tanga usipooikwepa linaenda kukupaka kinyesi mchana kweupe, take care my sister bado tunahitaji huduma yako huko serikali ila kwa hili dada utaenda na maji maana tuhuma za huyo kiongoz na ukaribu wako zinaenea kwa kasi ya ajabu sana.
 
Hata hiyo tamisemi yenyewe inanuka imeoza kabisaa....huwa nawaambia vijana wenzangu wahanga wa ajira wanaotegemea ajira kupitia tamisemi acheni kujipa matumaini ya kutegemea huko....ukweli ni kuwa kule tamisemi ni binadamu ni wachache ila viatu ni wengi mnoooo.
 
Kama ambavyo imeonekana Mh. Rais amekua akihubiri watu kutendewa haki,ameonekana kuwa kivutio kwa makundi yote ya kijamii. Amekubalika hata na wanasiasa wa upinzani na sasa ajenda yao imebakiatu kuwa ni katiba mpya.

Mh. Rais amemuweka waziri wa TAMISEMI ambaye ni mzugaji hamaanishi juu ya yale anayoyasema.

Ummy hivi jana amemsimamisha mhandisi aliyekua anasimamia ujenzi pale maeneo ya Makumbusho.

Kama kweli Ummy angekua mtenda haki angeanza na mkurugenzi wake wa Tanga Jiji ambapo ni mfujaji wa mali za umma.
Yupo afisa elimu taaluma idara ya sekondari ambaye alibainisha wizi wa fedha za ujenzi zaidi ya milioni 14,uliofanywa na mkuu mmoja wa shule.

Afisa huyo amekua akifanya kazi katika mazingira magumu akaamua kuikimbia ofisi na sasa yupotu nyumbani. Ummy anayajua yote hayo. Kwanini hawaundii tume huru mkurugenzi na afisa elimu wake? Ummy Mungu anaijua dhamira yako kwamba umejawa na uonevu.

Mkuu huyo amesema amempa mkurugenzi hela na amegawana na afisa elimu. Ummy anajua na TAKUKURU wanajua lakini anawabana wengine kwake kumeoza.

Je, Ummy kwanini hachukui hatua huyu afisa aliyenyanyasika akaacha ofisi arudi ofisini?

Ummy amechangia madarasa katika shule kadhaa lakini huyo mkuu wa shule ambaye lake ni moja na mkurugenzi na afisa elimu,wamelila darasa hilo. Ummy anaumiatu moyoni hasemi.

Ofisini kwa afisa elimu kuna mtumishi mmoja hana cheo bali nirafikitu wa afisa elimu na alikuja na afisa elimu wakitokea Muheza, kwani Tanga hakuna shida ya walimu mpaka mtu akakaetu ofisini kwa afisa elimu bila cheo?Ummy wa TAMISEMI anajua.

Wiki kadhaa zilizopita wapo manaibu makatibu wa tume ya utumishi wa walimu (TSC) wa Tanga na Mkinga ambao walikua wanaiba hela kupitia akaunti zao. Karibu wa Mkinga amekua signatory Tanga na wa Tanga amekua signatory Mkinga.

TSC makao makuu wameleta timu yao lakini hakuna jipya. Je, wewe Ummy upo kwaajili ya halmashauri nyingine lakini mkoani kwako hushuhuliki?

Mh. Rais, Ummy hafai kuwa waziri kwani hatendi haki bali amekua rafiki wa wabadhirifu hivyo atakutia doa.

Mama ninashauri Ummy azinguliwe
Majungu, uyo hawala yako kashasimamishwa kazi, kaa utulie dada
 
Hizi tuhuma zimepigiwa sana kelele hapa jf ,why hao watu wanaogopwa kiasi hicho ,utumishi wasipuuze hadi litokee jambo baya ,maana watu wakiona mamlaka zinawachukulia poa wanaamua kuchukua maamuz mkononi.

Kwa hizi dharau Kuna kiongozi atakuja tolewa mfano na wananchi wenye hasira kali itabaki tu kuwa tunge tunge ,bunduki hazifanyi kazi kwa watu waliochoka na uonezi .

Ummy mwalimu kasemwa sana hapa kuwa anawaogopa hao watu why uchunguzi usifanyike ili ukweli ujulikane Kama ni uzushi wasafishwe km ni kweli hatua zichukuliwe mapema iwezekanavyo.

Uchunguzi mbona ni wa siku chache tu kwa ofisi kama hizo ,pale pale ofisin waitwe watumishi wahojiwe kwa vimemo kila mtu afunguke ya moyon kujua utendaji kazi wa huyo jamaa pia waenda mbali kidogo hoji wananchi wa kawaida hata 20 tu majibu utayapata bila kutumia nguvu.

Ushauri ummy mwalimu Kama unapita hapa jichunge sana umekuwa mtu mwenye heshima kubwa sana na umeijenga kwa muda Sasa ila hili la huko tanga usipooikwepa linaenda kukupaka kinyesi mchana kweupe, take care my sister bado tunahitaji huduma yako huko serikali ila kwa hili dada utaenda na maji maana tuhuma za huyo kiongoz na ukaribu wako zinaenea kwa kasi ya ajabu sana.
Ili kujua kwamba anamuogopa mkurugenzi na afisa elimu nikwamba baada ya huyo mkuu wa shule kusimamishwa kazi na TAKUKURU apishe uchunguzi,siku aliporudi kazini alienda kuhudumu kwenye ofisi ya afisa elimu.

Mwanamke huyo mwenye ushawishi alikalia kiti cha afisa elimu taaluma aliyenyanyaswa na akaamua kuacha kazi
Hivi unajua amefanywaje mpaka akaacha kazi. Ummy na kikundi chake wanajua halafu akiongea mbele ya mh. Rais kama mtu muadilifu vile
Mengine hatuyasemi tu hapa jukwaani lakini Tanga hali ni mbaya sana
 
Hizi tuhuma zimepigiwa sana kelele hapa jf ,why hao watu wanaogopwa kiasi hicho ,utumishi wasipuuze hadi litokee jambo baya ,maana watu wakiona mamlaka zinawachukulia poa wanaamua kuchukua maamuz mkononi.

Kwa hizi dharau Kuna kiongozi atakuja tolewa mfano na wananchi wenye hasira kali itabaki tu kuwa tunge tunge ,bunduki hazifanyi kazi kwa watu waliochoka na uonezi .

Ummy mwalimu kasemwa sana hapa kuwa anawaogopa hao watu why uchunguzi usifanyike ili ukweli ujulikane Kama ni uzushi wasafishwe km ni kweli hatua zichukuliwe mapema iwezekanavyo.

Uchunguzi mbona ni wa siku chache tu kwa ofisi kama hizo ,pale pale ofisin waitwe watumishi wahojiwe kwa vimemo kila mtu afunguke ya moyon kujua utendaji kazi wa huyo jamaa pia waenda mbali kidogo hoji wananchi wa kawaida hata 20 tu majibu utayapata bila kutumia nguvu.

Ushauri ummy mwalimu Kama unapita hapa jichunge sana umekuwa mtu mwenye heshima kubwa sana na umeijenga kwa muda Sasa ila hili la huko tanga usipooikwepa linaenda kukupaka kinyesi mchana kweupe, take care my sister bado tunahitaji huduma yako huko serikali ila kwa hili dada utaenda na maji maana tuhuma za huyo kiongoz na ukaribu wako zinaenea kwa kasi ya ajabu sana.
Ubaya unaweza kuta jamaa ndio anaempiga ududu mtoto wa Mwalimu sasa gelofrendi anakuwa na say gani kwa baharia zaidi ya kuvunga tu😅😅😅
 
Hata hiyo tamisemi yenyewe inanuka imeoza kabisaa....huwa nawaambia vijana wenzangu wahanga wa ajira wanaotegemea ajira kupitia tamisemi acheni kujipa matumaini ya kutegemea huko....ukweli ni kuwa kule tamisemi ni binadamu ni wachache ila viatu ni wengi mnoooo.
Kweli mkuu
Mkurugenzi huyo nifundi warushwa. Anawanunua hadi TAKUKURU
 
Muacheni Dada wa coronya, kapitia mengi jamani🤣👇
images (59).jpeg
 
Back
Top Bottom