Momazi
Member
- Jan 5, 2023
- 48
- 54
Rais Samia mama yetu tunatambua nia yako njema ni kuiona Tanzania ikisonga mbele na kuondoa manung'uniko mengi.
Mama wewe ni mfariji mkuu tunaomba unapokuwa unazungumza na wanafunzi wa vyuo hapo Dodoma uliangalie suala gumu ambalo tulikabiliana nalo mwaka jana tulipokuwa katika mafunzo kwa vitendo (field).
Hali ilikuwa mbaya kwani hatukuwa na hela ya field, hivyo tunaomba huruma yako tuangaliwe kwa jicho la pili maana unakuta shule nyingi hazitoi full acomodation.
Mama wewe ni mfariji mkuu tunaomba unapokuwa unazungumza na wanafunzi wa vyuo hapo Dodoma uliangalie suala gumu ambalo tulikabiliana nalo mwaka jana tulipokuwa katika mafunzo kwa vitendo (field).
Hali ilikuwa mbaya kwani hatukuwa na hela ya field, hivyo tunaomba huruma yako tuangaliwe kwa jicho la pili maana unakuta shule nyingi hazitoi full acomodation.