Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Si mumemwona Mwigulu?Ni kama vile kampeni za uchaguzi mkuu zimeanza!
Kwakinyakyusa tunasena 'not any idea is born perfect give a chance to grow ' or if you do not know where you are going any road will take you thereKwa matukio ya hivi karibuni na dhahiri kuna wanaotaka kum upstage mama Samia.
Wito wangu ni mmoja tu, mama usicheke na nyani, utakula mabua.
Na wahenga walisema kikulacho ki nguoni mwako.
Jini magufuli linakusumbua wewe!Kwa matukio ya hivi karibuni na dhahiri kuna wanaotaka kum upstage mama Samia.
Wito wangu ni mmoja tu, mama usicheke na nyani, utakula mabua.
Na wahenga walisema kikulacho ki nguoni mwako.
Kwani ulivhoongea ni kinyaki au kiingereza?Kwakinyakyusa tunasena 'not any idea is born perfect give a chance to grow ' or if you do not know where you are going any road will take you there
Nyani wabaya zaidi wako nguoni mwa mama.Ndio maana mbowe alitaka kujigeuza nyani na mama hajacheka naye. Ashakusikia.
Leo mbowe ni gaidi?? Mnamfunga? Mmemfilisi lakini bado haitoshi?? karma is real b!tQUOTE]Katika Tanzania yetu yenye watu zaidi ya Milion 40 Mbo ndo mdudu gani.
Akafilie jela tuu hukoo.Kwanza anatupotezea muda kutufanyia kelele.
Tz hakuna Mtu Muhimu.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Spoon inaitwa ilefwaniKwani ulivhoongea ni kinyaki au kiingereza?
Nasikia spoon mnaita supuni.
Mnataka mama awe dikiteta?Kwa matukio ya hivi karibuni na dhahiri kuna wanaotaka kum upstage mama Samia.
Wito wangu ni mmoja tu, mama usicheke na nyani, utakula mabua.
Na wahenga walisema kikulacho ki nguoni mwako.
Hilo halina ubishi!unamaanisha nyani ni mawaziri wake? mfano ni waziri wa fweza!?
mama yako anaitwa nani vile? Samia?Kwa matukio ya hivi karibuni na dhahiri kuna wanaotaka kum upstage mama Samia.
Wito wangu ni mmoja tu, mama usicheke na nyani, utakula mabua.
Na wahenga walisema kikulacho ki nguoni mwako.
Ohoooo!mama yako anaitwa nani vile? Samia?
Ohoooo!
Utazinguliwa!
Wa muupstage kwa lipi? Shida yenu kujitekenya wenyewe. Mama anaongoza serikali ya chama cha mapinduzi iliyoingia madarakani kwa kura za magufuli. Kasema yeye na magufuli ni kitu kimoja. Sijui kwa nini nyumu hawaelewi.Kwa matukio ya hivi karibuni na dhahiri kuna wanaotaka kum upstage mama Samia.
Wito wangu ni mmoja tu, mama usicheke na nyani, utakula mabua.
Na wahenga walisema kikulacho ki nguoni mwako.