Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kwa matukio ya hivi karibuni na dhahiri kuna wanaotaka kum upstage mama Samia.
Wito wangu ni mmoja tu, mama usicheke na nyani, utakula mabua.
Na wahenga walisema kikulacho ki nguoni mwako.
UPDATE
Tulisema na yameshaanza kutokea
-Gwajima anamtunishia msuli Mwenyekiti wake wa CCM
-Pole pole na kwa mbali anaonyesha kutomjali Mwenyekiti wake kwa kaui binafsi tata.
-Mbowe inaelekea kashughulikiwa na Team Mwendazake
etc etc
Wito wangu ni mmoja tu, mama usicheke na nyani, utakula mabua.
Na wahenga walisema kikulacho ki nguoni mwako.
UPDATE
Tulisema na yameshaanza kutokea
-Gwajima anamtunishia msuli Mwenyekiti wake wa CCM
-Pole pole na kwa mbali anaonyesha kutomjali Mwenyekiti wake kwa kaui binafsi tata.
-Mbowe inaelekea kashughulikiwa na Team Mwendazake
etc etc