Rais Samia usikubali awamu ya 6 kudharaulika kupitia makundi ya wahalifu

Pumbavu,usimfanye Rais wa hovyo kama wewe.
 
Na hata watu wa aina yako nao usiwasahau
 

mama hana ubavu wakuwakataa wamemshinda nguvu sana
 

umetokea chadema ng'ombe wewe yote uliyooandika ndio yalikuwa hayapo. chadema chuki
 
😁😁😁 Umeamua kumsema Mwigulu Nchemba aka Madelu kiujanja ujanja!
 
umetokea chadema ng'ombe wewe yote uliyooandika ndio yalikuwa hayapo. chadema chuki
Du ! CCM mna ilani ya uchaguzi 2020-2025 ya kurasa 303,na dikshonali ya matusi sijui Ina kurasa ngapi.
 
Utamaduni wa kimbeya. Umesikia uzinzi, walevi…… hivi ni vitu vya kuonekana sio kusikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…