Rais Samia usikubali. CCM walikataa Katiba leo wanataka Katiba Mpya, walidhani Katiba ni ya CHADEMA tu

Rais Samia usikubali. CCM walikataa Katiba leo wanataka Katiba Mpya, walidhani Katiba ni ya CHADEMA tu

Mishenyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2019
Posts
464
Reaction score
748
Leo maji yamewafika shingoni wanakosa jinsi ya kukutoa madarakani wanaanza kujipitisha huku wakisema katiba mpya inahitajika, walidhani mfumo dume utadumu milele hawakujua mungu ndiye apangae. Sasa hivi wa CCM wanaumizwa na katiba kuliko wana Chadema.
 
Leo maji yamewafika shingoni wanakosa jinsi ya kukutoa madarakani wanaanza kujipitisha huku wakisema katiba mpya inahitajika,,,,Walidhani mfumo dume utadumu milele hawakujua mungu ndiye apangae!!!! Sasa hivi wa ccm wanaumizwa na katiba kuliko wanachadema .
Alishasema Lissu, waendelee kufurahia namna ambavyo wapinzani wamekuwa wakikandamizwa na namna ambayo viongozi wa CCM wamekuwa wakisigina Katiba na demokrasia Ila alisema wakiwamalizwa wapinzani basi wajiandae watamalizana wao kwa wao.

This is what is happening. Wacha wamalizane , shamba la bwana Heri Nyani wa bwana Heri na Mahindi ya bwana Heri basi mambo yote ni heri.

Tunawasubiri ulingoni tudai Katiba mpya kulingana na matakwa ya demokrasia sio waje na mambo yao kisa wana interest fulani so mambo yao ndio yapite.

Kama watajoin kudai katiba mpya basi ahakuna tatizo sababu ni yetu wote watanzania Ila tukubaliane iwe mpya kweli kwa maslahi mapana ya Taifa sio personal interest zao na kukataa mengine, wajitahidi wasituletee mtibuano tutawanyonga.

It's either wanataka Katiba ya ukweli au waachane na huu mpambano warudi wakalambe viatu vya mabwana zao sababu madai ya Katiba mpya sio ajenda ya CCM hata kidogo na haijawahi kuwa ajenda yao maana wao wanaenjoy matunda ya udhalimu wao.

Mara ya mwisho waliharibu wao mchakato wa kupata Katiba mpya, Ile rasimu ya warioba ilikuwa nzuri Ila wametusaidia Kuna mambo hayakuangaliwa kama hili la spika kujiuzulu na Rais kufa akiwa madarakani au makamu wake.
 
Watanzania wa chini hawako tayari kubadili katiba, hii yenyewe bado inawashinda. Kudai katiba mpya ni uhaini na kuikosea adabu katiba iliyoko sasa na kuwakosea sana waasisi wa nchi yetu. Katiba sio kipaumbele cha watanzania since haitafika kutatua kero za ajira bali itaongeza kero hiyo, kupungua kwa bei ya bidhaa, kupanda thamani ya uzalishaji na masoko, n.k.
 
Watanzania wa chini hawako tayari kubadili katiba, hii yenyewe bado inawashinda. Kudai katiba mpya ni uhaini na kuikosea adabu katiba iliyoko sasa na kuwakosea sana waasisi wa nchi yetu. Katiba sio kipaumbele cha watanzania since haitafika kutatua kero za ajira bali itaongeza kero hiyo, kupungua kwa bei ya bidhaa, kupanda thamani ya uzalishaji na masoko, n.k.
Umeandika upuuzi mtupu. Kudai Katiba Mpya hakuwezi kuwa uhaini hata kama unafikiria kwa kutumia tumbo linalojazwa kwa maslahi ya hii Katiba mbovu iliyopo.
 
Umeandika upuuzi mtupu. Kudai Katiba Mpya hakuwezi kuwa uhaini hata kama unafikiria kwa kutumia tumbo linalojazwa kwa maslahi ya hii Katiba mbovu iliyopo.
Katiba ni maridhio ya wananchi na sio kikundi fulani cha wachache. CCM ndio chaguo la wananchi na ikiwa wananchi wenyewe wanahitaji katiba mpya vasiwangewaambia viongozi wao kuwa tunahitaji katiba mpya. Wananchi hawajawahi ku raise hoja hii popote pale kwenye nchi hii, na rais akikubali basi atakuwa ametusaliti sisi wananchi. Namkumbusha tu katika ziara zake au makutano yake na wananchi hoja hii hajawahi kuambiwa. Wanaotaka katiba mpya ni wachache mno na wengi wao wahalifu na wahuni na hawana nia nzuri na taifa letu, kwa sababu wanaitaka katiba mpya kwa ajiri ya nani? Naona ubinafsi,uchu wa madaraka na uzandiki mkubwa katika hili. Tanzania ipo imara kupitia katiba hii na hatujui katiba hiyo mnayoitaka itatuletea maafa gani.
 
Watanzania wa chini hawako tayari kubadili katiba, hii yenyewe bado inawashinda. Kudai katiba mpya ni uhaini na kuikosea adabu katiba iliyoko sasa na kuwakosea sana waasisi wa nchi yetu. Katiba sio kipaumbele cha watanzania since haitafika kutatua kero za ajira bali itaongeza kero hiyo, kupungua kwa bei ya bidhaa, kupanda thamani ya uzalishaji na masoko, n.k.
Frustration
 
Katiba ni maridhio ya wananchi na sio kikundi fulani cha wachache. CCM ndio chaguo la wananchi na ikiwa wananchi wenyewe wanahitaji katiba mpya vasiwangewaambia viongozi wao kuwa tunahitaji katiba mpya. Wananchi hawajawahi ku raise hoja hii popote pale kwenye nchi hii, na rais akikubali basi atakuwa ametusaliti sisi wananchi. Namkumbusha tu katika ziara zake au makutano yake na wananchi hoja hii hajawahi kuambiwa. Wanaotaka katiba mpya ni wachache mno na wengi wao wahalifu na wahuni na hawana nia nzuri na taifa letu, kwa sababu wanaitaka katiba mpya kwa ajiri ya nani? Naona ubinafsi,uchu wa madaraka na uzandiki mkubwa katika hili. Tanzania ipo imara kupitia katiba hii na hatujui katiba hiyo mnayoitaka itatuletea maafa gani.
Kwani watanzania waliwahi kuomba Ndege,reli na uchafu mwingine kwenye ziara za rais!!!?
 
Watanzania wa chini hawako tayari kubadili katiba, hii yenyewe bado inawashinda. Kudai katiba mpya ni uhaini na kuikosea adabu katiba iliyoko sasa na kuwakosea sana waasisi wa nchi yetu. Katiba sio kipaumbele cha watanzania since haitafika kutatua kero za ajira bali itaongeza kero hiyo, kupungua kwa bei ya bidhaa, kupanda thamani ya uzalishaji na masoko, n.k.
Wewe siyo mtanzania wa chini Kwa hiyo huna haki ya kuwasemea.
 
Umeandika kama una maslahi binafsi na cheo chake badala ya kufikiria maslahi ya kitaifa.

Sina hakika kama huwa anafanyia kazi ushauri wa namna hii.
 
Back
Top Bottom