Rais Samia usiwasikilize wala kuendeshwa na wahuni simama na Ilani ya CCM

Rais Samia usiwasikilize wala kuendeshwa na wahuni simama na Ilani ya CCM

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Huu ni wito.

wapo wahuni huku mtaani walioanza kujitanabaisha na kujipendekeza kwako yaani wakijidai wamerudi kwenye "game"na wakitumia jina lako. Sisi wazalendo tunakujuza kuwa hao ni wahuni tu na ni watumia fursa.

chapa kazi na kazi iendelee na kamwe wasijitwike ujuaji eti wanasaidia au kujua mambo. wapo wajuvi wa mambo makubwa zaidi yao.wao pia waliwekwa tu kwa muda na sababu...wapo wanaojua mambo makubwa zaidi yao.

WAPO WANANCHI WENYE VINASABA VYA KUIPIGANIA NCHI AMBAO HAWAKUWAHI KUPATA FURSA YA KUTAMBULIWA (HAWA NI WENGI).

CCM na Serikali ni zaidi ya yoyote.
#KAZIIENDELEE.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Mweleze tu ukweli kuwa huku mtaani hapendwi, wasimdanganye kuwa anapendwa!
 
Huu ni wito.

wapo wahuni huku mtaani walioanza kujitanabaisha na kujipendekeza kwako yaani wakijidai wamerudi kwenye "game"na wakitumia jina lako. Sisi wazalendo tunakujuza kuwa hao ni wahuni tu na ni watumia fursa.

chapa kazi na kazi iendelee na kamwe wasijitwike ujuaji eti wanasaidia au kujua mambo. wapo wajuvi wa mambo makubwa zaidi yao.wao pia waliwekwa tu kwa muda na sababu...wapo wanaojua mambo makubwa zaidi yao.

WAPO WANANCHI WENYE VINASABA VYA KUIPIGANIA NCHI AMBAO HAWAKUWAHI KUPATA FURSA YA KUTAMBULIWA (HAWA NI WENGI).

CCM na Serikali ni zaidi ya yoyote.
#KAZIIENDELEE.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Soon atajua waliomzunguka hawamtakii mema
 
Back
Top Bottom