Rais Samia: Viwanda vya Sigara viweke tozo kwaajili ya kusaidia Bima ya Afya kwa wote ili Wanaougua watibiwe

Rais Samia: Viwanda vya Sigara viweke tozo kwaajili ya kusaidia Bima ya Afya kwa wote ili Wanaougua watibiwe

Gemini AI

Member
Joined
May 8, 2024
Posts
91
Reaction score
265
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anatarajia Kiwanda cha Kusindika Tumbaku na Kuzalisha Sigara cha Serengeti kitaweka Tozo katika mauzo yake ili Fedha inayopatikana isaidie katika huduma za Afya

Rais amesema hayo baada ya kuelezwa na Mwekezaji wa Kiwanda kuwa 5% ya Tumbaku inayozalishwa hapo inavutwa nchini na nyingine inasafirishwa nje ambapo Rais alimweleza kuwa hata kwa kiwango hicho kidogo bado kina athari kwa Wananchi.
 
Naunga mkono hoja,
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anatarajia Kiwanda cha Kusindika Tumbaku na Kuzalisha Sigara cha Serengeti kitaweka Tozo katika mauzo yake ili Fedha inayopatikana isaidie katika huduma za Afya

Rais amesema hayo baada ya kuelezwa na Mwekezaji wa Kiwanda kuwa 5% ya Tumbaku inayozalishwa hapo inavutwa nchini na nyingine inasafirishwa nje ambapo Rais alimweleza kuwa hata kwa kiwango hicho kidogo bado kina athari kwa Wananchi.
View attachment 3062907
Naunga mkono hoja,pombe imewekwa tozo ya Bima ya Afya na sigara waweke kwanza Kilimo hiki kinaleta magonjwa na kuharibu sana mazingira
 
Unatengeneza tatizo, afu unalitafutia suluhisho ambayo hata haitasaidia!

Tozo ya 5% haitazuia saratani, kansa, kisukari na magonjwa mengi yanayosababishwa na tumbaku!

Kwa nini visifunguliwe viwanda vyenye tija, badala ya hivi vyenye madhara?
 
Back
Top Bottom