Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Chadema wanamsengenya Shujaa MagufulKaongeza kwa Kusema
" Watu wanauliza kwanini Kigamboni tulipe wakati Tanzanite twapita bure?, "
Akajibu
" Kigamboni ni mkopo, Tanzanite sio mkopo ni mali ya serikali"
Akaongezea
" B...U...R....E havipo, hivyo wananchi wajizoeshe kulipia, na huko mbeleni mambo yote yatalipiwa kuanzia barabara na madaraja"....
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni alifumba macho,
Mbunge aliishia kucheka tu
Wao wanatembelea m v8 kwa kua tuliwaamini watupunguzie kero sana wanajibu jeuri kwa tozo zetu ..maji wameyachupusha town kivuko tulipe darajani tulipe kigamboni si wanatuona mafara fulani...Hakunaga Kura Za bure mkuu.
Hii iwe ni kauli mbinu ya mwaka 2025
Mbona yeye kila kitu anapata bure?vya bure havitakuwepo, h
Mkuu hata muoneaji hukupima kwanza kama anakuweza ama la,ccm kila wanaloamua wanaona wanatuweza,tutegemee uchokozi mara dufu.Hata bando pia, hawa sasa NDIO CCM kwenye ngozi na rangi zao halisi
Vya bure HAKUNA, lakini juzi tumeambiwa China imetusamehe madeni yetu yote na wanataka tupeleke mazao yetu bure...Mh Rais akijibu ombi la Wabunge wa Kigamboni kuhusu kuondoa tozo za daraja, amesema kuwa lile daraja lilijengwa kwa mkopo hivyo lazima watu walipe hela kupita, vya bure havitakuwepo, hivyo wananchi wategemee kuanza lipia barabara watumiazo, zitazojengwa na ppp.
Kivuko cha Kigamboni kubinafsishwa ili kuondolea Serikali gharama za uendeshaji
Point...mm ndiyo naishi kwa mfumo huoTatizo watu wanakosea wanapoipa serikali umuhimu wasio nao.
Utasikia Mh rais,
Hongera mheshimiwa rais
Mh rais tunaomba hiki, ujinga ujinga tu.
Wapuuzeni hao mafisadi, jali familia yako, wanajamii wenzako na endelea kupambana upate pesa.
Hawa serikali msiende hata kwenye event au jambo lolote wanalafanya.
Msiwape umuhimu.
Hivi ni ccm=umasikini Mshawai jiuliza daraja la cramia lenye urefu wa kutoka Dar hadi zanziber baharini lilijengwa kwa bei gani,lina km ngapi linanjia ngapi watu wanapita bure.Mh Rais akijibu ombi la Wabunge wa Kigamboni kuhusu kuondoa tozo za daraja, amesema kuwa lile daraja lilijengwa kwa mkopo hivyo lazima watu walipe hela kupita, vya bure havitakuwepo, hivyo wananchi wategemee kuanza lipia barabara watumiazo, zitazojengwa na ppp.
Kivuko cha Kigamboni kubinafsishwa ili kuondolea Serikali gharama za uendeshaji
Umeongea point kila kitu raisTatizo watu wanakosea wanapoipa serikali umuhimu wasio nao.
Utasikia Mh rais,
Hongera mheshimiwa rais
Mh rais tunaomba hiki, ujinga ujinga tu.
Wapuuzeni hao mafisadi, jali familia yako, wanajamii wenzako na endelea kupambana upate pesa.
Hawa serikali msiende hata kwenye event au jambo lolote wanalafanya.
Msiwape umuhimu.