Rais Samia: Vyombo vya Habari sio mshindani wa Serikali bali ni mshirika wa Serikali

Rais Samia: Vyombo vya Habari sio mshindani wa Serikali bali ni mshirika wa Serikali

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Katika hotuba yake siku ya Kongamano la Maendeleo ya Habari, Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan amesemq vyombo vya habari sio mshindani wa serikali bali ni mshirika wa serikali.

Amesema kwa kipindi 'Hicho' kulikuwa na ushindani lakini hatukuweza kufika pazuri. Lakini sasa kama nchi tuko vizuri kwa kuwa vyombo vya habari vinaonekana sio mshindani tena bali ni mshirika wa serikali.

Rais ameshukuru vyombo vya habari nchini kwa kazi nzuri wanayoifanya kama wakati wa Janga lililotokea Hanang pia wakati wa Elnino.
 
Bado tuna ukiritimba kwenye tasnia ya habari...uwakilishi wa the so called Jukwaa la Wahariri Tanzania hauko sawia...Wahariri wengi ambao ni wanachama kwenye jukwaa hilo ni editors wa print media...waambieni akina Balile wafungue milango TEF iwe na membership ya kada zote za tasnia ya habari sio print tu ndo inakuwa at the top brass of TEF. N'yadikwa
 
Hapana! Kwa sasa vyombo vya habari "ingratiate themselves with the government". Havipaswi kuwa hivyo. Vyombo vya habari inabidi "vibweke" (vipaze sauti) ili mwizi akimbie. Vikiwa silent mwizi anaiba kiulaini, then anakimbia na hakuna anayeweza kum'trace'. Kwenye vibrant media kuvunja sheria ovyoovyo au kutumia madaraka vibaya hakupo (kunapungua) maana vyombo vya habari vitasema na serikali itachukua hatua. Kwenye complacent media - anything goes.
 
Vyombo vya habari vinapaswa kuwa "fourth estate"
 
Back
Top Bottom