Rais Samia: Wakaguzi wa ndani wanashirikiana na watu wa manunuzi kuchepusha fedha

Rais Samia: Wakaguzi wa ndani wanashirikiana na watu wa manunuzi kuchepusha fedha

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kitengo cha Ukaguzi wa Ndani bado hakiko vizuri na ndio sababu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) hukutana na matatizo mengi

Amesema baadhi ya wakaguzi wa ndani hushirikiana na watu wa manunuzi ili kujua mbinu za kuchepusha fedha za serikali

Amemtaka Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kukisimamia vyema kitengo cha wakaguzi wa ndani
 
Hivi Mwigulu anaweza kuwa ana akili kuliko Profesa MANYELE na Profesa Mikandala,,CAG tunaomba mkague kwanza Mwigulu kabla hajaenda kuchunguza wakaguzi wa ndani
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kitengo cha Ukaguzi wa Ndani bado hakiko vizuri na ndio sababu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) hukutana na matatizo mengi

Amesema baadhi ya wakaguzi wa ndani hushirikiana na watu wa manunuzi ili kujua mbinu za kuchepusha fedha za serikali

Amemtaka Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kukisimamia vyema kitengo cha wakaguzi wa ndani
nini tafsir ya hiyo kauli ya SSH?

kama ameshagundua kwamba wakaguzi wanasababisha upigaji kwanini wasiunde tume ya kuwachunguza hao washukiwa?

unda tume iwachunguze, ikionekana kama wao ndio chanzo cha upigaji unawawajibisha haraka iwezekanavyo

hii nchi haitakiwi iongozwe ki politics, ukitaka kulela siasa hii nchi itakushinda

nchi hii inatakiwa kuongozwa kidikteta
 
nini tafsir ya hiyo kauli ya SSH?

kama ameshagundua kwamba wakaguzi wanasababisha upigaji kwanini wasiunde tume ya kuwachunguza hao washukiwa?

unda tume iwachunguze, ikionekana kama wao ndio chanzo cha upigaji unawawajibisha haraka iwezekanavyo

hii nchi haitakiwi iongozwe ki politics, ukitaka kulela siasa hii nchi itakushinda

nchi hii inatakiwa kuongozwa kidikteta
Ni katiba unasema hii nchi ni ya kidemokrasia au kidikteta??
Acha kutuvuruga
 
Mahakama hazina uwezo wa kufunga mafisadi bali dagaa
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kitengo cha Ukaguzi wa Ndani bado hakiko vizuri na ndio sababu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) hukutana na matatizo mengi

Amesema baadhi ya wakaguzi wa ndani hushirikiana na watu wa manunuzi ili kujua mbinu za kuchepusha fedha za serikali

Amemtaka Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kukisimamia vyema kitengo cha wakaguzi wa ndani
Tzn hapa kupambana na wizi ni Kazi ngumu Sana maana watu sio waadilifu..

Licha ya kujengwa ukuta melerani lakini madini yalitoroshwa..

Licha ya kuweka wajeshi bandari ya Dar bado upigaji ulikuwa pale pale na inefficiency juu..

Hebu ona hapa yaani bila Waziri hakuna mtu angestuka na Takukuru wapo na wengine wapo pia 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220619-202631.png
    Screenshot_20220619-202631.png
    161.5 KB · Views: 5
Mama anamaneno mengi utendaji zero
Hizi nchi zetu kuna mahali tumekwama sana. Sasa kama unasema mwendazake alikuwa mtendaji, lakini CAG aligundua upotevu wa 1.5 trillion. Na akaambiwa asiseme, aliposema akastaafishwa.



YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kitengo cha Ukaguzi wa Ndani bado hakiko vizuri na ndio sababu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) hukutana na matatizo mengi

Amesema baadhi ya wakaguzi wa ndani hushirikiana na watu wa manunuzi ili kujua mbinu za kuchepusha fedha za serikali

Amemtaka Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kukisimamia vyema kitengo cha wakaguzi wa ndani
Rais Samia Suluhu Hassan Nchi inaelekea kukushinda. Ukifika 2025 kabidhi CCM nchi yao Wewe kachunge mbuzi Mkoa wa Kusini Unguja.
 
Tzn hapa kupambana na wizi ni Kazi ngumu Sana maana watu sio waadilifu..

Licha ya kujengwa ukuta melerani lakini madini yalitoroshwa..

Licha ya kuweka wajeshi bandari ya Dar bado upigaji ulikuwa pale pale na inefficiency juu..

Hebu ona hapa yaani bila Waziri hakuna mtu angestuka na Takukuru wapo na wengine wapo pia 👇
Tukibadili hiki CHAMA Dola, labda tutapata dawa
 
Nimesema Sana kuhusu mwigulu siongee Tena acha aendelee kuwa umiza wanannchi
 
awamu ya maagizo na maelekezo bila kuchukua hatua
 
awamu ya maagizo na maelekezo bila kuchukua hatua
Atachukua hatua gani na hana analolifahamu zaidi ya kuwategemea wasaidiz wake ambao nao washamjua kwamba ni mtupu ndio maana wanaendelea kutafuna pesa za walipa Kodi,

Ataishia kutoa maagizo tu ila kiufupi Hana alijualo.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kitengo cha Ukaguzi wa Ndani bado hakiko vizuri na ndio sababu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) hukutana na matatizo mengi

Amesema baadhi ya wakaguzi wa ndani hushirikiana na watu wa manunuzi ili kujua mbinu za kuchepusha fedha za serikali

Amemtaka Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kukisimamia vyema kitengo cha wakaguzi wa ndani
Maza mjanja sn alipoona watu wamekomalia report ya CAG akaanzisha maigizo ya royal tour watanzania wote tukasahau
 
Back
Top Bottom