Rais Samia, wakulima wa Miwa wanatishia kukibomoa Kiwanda cha Sukari cha Mbigiri

Umeandika vizuri lakini hauko sahihi.
Hakun mkulima hasiyependa maendeleo, na ndiyo maana waliacha mashamba ya mpunga na ku-opt kulima miwa.
Ukiona mtu anafikia maamuzi hayo fahamu kuna kitu hakipo sawa.
 
Bado hakijaanza kufanya kazi?
Ulikuwa ukisoma matangazo ya kazi ya hapo Mkulazi utahisi kiwanda kilifunguliwa siku Nyingi.
Ujanja ujanja mwingi lakini akili hakuna.
 
Kuna mambo ya ajabu hapo...NSSF inajenga kiwanda cha sukari inaalika outgrowers kulima miwa...yenyewe imeshindwa kuanza uzalishaji na outgrowers hawana mahali pa kuuza miwa yao.Benki ya Azania ambayo inamilikiwa na NSSF yenyewe inatoza riba ya ucheleweshaji wa marejesho ya mikopo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…