Sasa kukibomoa kiwanda itasaidia nini kama sio kuendeleza ujinga na umasikini. Yaani serikali inajaribu kuwaletea kiwanda halafu wakibomoe. Watanzania wana utamaduni wa kulalamika huwezi kupata serikali inafanyia watu vitu vingi kama watanzania wakulima halafu ni walalamishi kila siku kuna viongozi kibao lakini utakuta hata habari hizi wakulima hao hawajawaambia kuna wabunge......... wako wapi?. Mkitaka kujua Tanzania tuna wavivu wengi tuwaruhusu wakenya waje kulima Morogoro kwa miaka 5 tu tuone.