Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Mwendazake alikua mtu muongo.Ninachoangalia ni ufanisi tu,
Maendeleo yalionekana kipindi cha JPM ama hiki,
Maneno ama viswahili vyenye konakona nyingi havinisaidii hvy Sina umhimu navyo.
Huko mbeleni tutaelewa km tuko njia sahihi ama la.
Magufuli alikua muigizajiInawezekanaje shirika la umma likope pesa ndefu kiasi kile harafu serikali kuu isijue!...
Wewe siyo muongo?Hii hajasingiziwa ni ukweli tupu. Mwendazake alikua mtu muongo.
Natafuta lile tangazo la msajili wa hazina liliwapiga marufuku wakurugenzi kukopa pesa kwenye benki za kibiashara kipindi cha Magaufuli, nikilipata nitaleta hapa ili tuone nani ni muongoWhat if magufuli alitoa amri wakope ili wapate rejesho?
Ndo sauti ya mwanadamu aliye na utimamu na busarakwamba kwa sasa rais unatakiwa kila shirika lifanye kazi kwa faida na litowe gawio bila kukopa bank.
'kwa hiyo muende mkasimamie mashirika yazalishe,”
sauti isiyo kuwa na mammlaka.
Muongo huyu. Angetaja mashirika yaliyofanya hivyo kukopa benki ili kutoa gawio. Uwezekano hao ma ceo huenda hata walichangishana management na board zao maana ni wao ndio wanagawana faida ya shirika.Rais Samia amesema Mashirika ya Umma hayafanyi vizuri na kuna baadhi ya Viongozi wao walikuwa wanakopa fedha Benki ilu walipe Gawio serikalini kulinda vibarua vyao...
Unabisha sasaRecords ziko wapi? Unaweza tu kukopa hela Central bank bila ya records zozote mahali na jinsi ya kuzirudisha? Na kama ni kweli kwamba walikuwa wanakopa ktk central Bank ili kumfurahisha Magufuli, je raisi Magufuli angeweza kutoligundua/kuambiwa hilo? I mean, huyo mtu sijui tu kwa kweli kwa maana dah!
Ukiona hivyo jua ameshindwa kuyasimamia. Tunajua mashirika ta umma ndio vyanzo vikuu vya upigaji. Zamani tanesco iliishia kulipa makampuni ya mafuta na umeme capacity charges zaidi ya bill 700 kwa mwaka. Magu akaondoa huo ujinga. Shirika likaanza kujiimarisha hadi kufungua kiwanda cha kutengeneza nguzo za zege na kujiuzia. Leo tena wamerudi kule kule. Wanataka kuagiza nguzo za miti nje.Records ziko wapi? Unaweza tu kukopa hela Central bank bila ya records zozote mahali na jinsi ya kuzirudisha? Na kama ni kweli kwamba walikuwa wanakopa ktk central Bank ili kumfurahisha Magufuli, je raisi Magufuli angeweza kutoligundua/kuambiwa hilo? I mean, huyo mtu sijui tu kwa kweli kwa maana dah!
Hivi ni wananchi sisi ndio vilaza au wawasilisha ujumbe ndio vilaza?Halafu Magufuli asijue kama wamechukuwa hela ktk central Bank ? Raisi yuko karibu na Gavana wa Benki anakuwa briefed kila kinachoendelea, asiambiwe kama shirika xyz limekopa ?
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma hayafanyi vizuri na kuna baadhi ya Viongozi wao walikuwa wanakopa fedha Benki ilu walipe Gawio serikalini kulinda vibarua vyao
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yote yataangaliwa upya
Source ITV
======
“Najua miaka iliyopita kuna kipindi maalumu ilikuwa ni lazima mashirika yatoe dividends (gawio) na kwa sababu yalikuwa haya- perform wengi wenu mlikuwa mnaingia mabenki huko mkakopa, mkaingia wapi huko... mkakopa ilimradi unalinda kibarua chako,”
“Unapeleka check tarehe fulani... check hii hapa shirika limechangia lakini kumbe uzalishaji ni zero, kwa hiyo muende mkasimamie mashirika yazalishe,”
View attachment 2311657
Inamzidi uwezoMkuu labda hujaielewa vizuri mada
Noma kweli !Rais Samia amesema Mashirika ya Umma hayafanyi vizuri na kuna baadhi ya Viongozi wao walikuwa wanakopa fedha Benki ilu walipe Gawio serikalini kulinda vibarua vyao
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yote yataangaliwa upya
Source ITV
======
“Najua miaka iliyopita kuna kipindi maalumu ilikuwa ni lazima mashirika yatoe dividends (gawio) na kwa sababu yalikuwa haya- perform wengi wenu mlikuwa mnaingia mabenki huko mkakopa, mkaingia wapi huko... mkakopa ilimradi unalinda kibarua chako,”
“Unapeleka check tarehe fulani... check hii hapa shirika limechangia lakini kumbe uzalishaji ni zero, kwa hiyo muende mkasimamie mashirika yazalishe,”
View attachment 2311657
Enzi hizo tulilishwa Matango pori sanaRais Samia amesema Mashirika ya Umma hayafanyi vizuri na kuna baadhi ya Viongozi wao walikuwa wanakopa fedha Benki ilu walipe Gawio serikalini kulinda vibarua vyao
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yote yataangaliwa upya
Source ITV
======
“Najua miaka iliyopita kuna kipindi maalumu ilikuwa ni lazima mashirika yatoe dividends (gawio) na kwa sababu yalikuwa haya- perform wengi wenu mlikuwa mnaingia mabenki huko mkakopa, mkaingia wapi huko... mkakopa ilimradi unalinda kibarua chako,”
“Unapeleka check tarehe fulani... check hii hapa shirika limechangia lakini kumbe uzalishaji ni zero, kwa hiyo muende mkasimamie mashirika yazalishe,”
View attachment 2311657
Records ziko wapi? Unaweza tu kukopa hela Central bank bila ya records zozote mahali na jinsi ya kuzirudisha? Na kama ni kweli kwamba walikuwa wanakopa ktk central Bank ili kumfurahisha Magufuli, je raisi Magufuli angeweza kutoligundua/kuambiwa hilo? I mean, huyo mtu sijui tu kwa kweli kwa maana dah!