Leo ndo unalijua hilo ndugu? Kuna mwanaCCM mmoja aliwahi nukuliwa alisema kuwa ushindi kwao hainaga cha Mungu akipenda mana kwao Mungu apende hasipende ushindi kwao uhakkika.Eti 2025 ndo Rais wa kike atachaguliwa. Mbona anajihakikishia sana. Hapo ndo utajua CCM huwa haitegemei kura za wananchi, bali wanakuwa na matokeo yao tayari.
Maza aliingia kwa mkwara mzito akawaambia tena nyie wa mifuko ya jamii ninatenga Muda wa kuwashughulikia maana huko 'kumeoza' basi wastaafu wakapata moyo.laah kumbe Hangaya na Magu Ni wale kwny mafao ya wastaafu.Tofauti mmoja Ni wa kike mwingine Ni wa kiume.Hana msaada.Kwenye swala la tozo limetugusa wengi mkuu,, lakini naimani nae uyu mama ipo cku ataliweka sawa,,, na uzuli pesa zinazokusanywa za tozo zinawekwa wazi na zinaenda kwenye miradi. Kuusu kupanda bei zsa mafuta navojua mimi mkuu ni duniani kote na co Tanzania tu. Unazani nani anapenda vitu/bidhaa zipande bei!!! Hali ngumu sana,, na corona ndiyo imesababisha vitu kupanda bei, moja wapo mafuta.
Huyu mama ni Mwepesi sana kuliko wengi wanavyofikiria, hivi viatu hamvitoshi. Mwl Nyerere aliwahi kusema ukiwa na akili timamu Ikulu siyo sehemu ya kukimbilia, Kuna mambo mengi magumu taifa linapitia kwa sasa kiasi kwamba mtu huwezi kutoa kauli ya namna hiyo hata kama una ambitions ya kuitaka nafasi hiyo (inaonekana akili yake haija-absorb changamoto za taifa hili ndiyo maana anaona hii nafasi ni nyepesi). Nawaza tu kwa sauti kuwa inawezekana hata hawa wanaosema Mama anaenda vizuri, pengine wanajua fika jinsi anavyokoroga mambo huko ndani. Nadhani muda ni mwamuzi mzuri kwenye hili.its too early for to start comitting herself to 2025/2030.
anayo mengi ya kuyafanya kwanza..kabla ya kuanza kutupa mlengo wake wa miaka ijayo katika siasa.
Rais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yot
Rais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya
Kuongozwa na Ndugu kunatokea kwa bahati, Ila kuongozwa Dkt. kunakuja kwa mipango, kwa hiyo hatuwezi kukubali kuongozwa na Ndugu.Rais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
Katiba inamruhusu kugombea kipindi chake kimoja kingineLakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Kabisa mkuu.Hata ubunge tu hawezi pata sembuse uraisi
Nani atamchimba huo mkwara?Kama Mbowe tu kudai tu Katiba mpya kapigwa ugaidi je atakaehoji khs mambo hayo mengine si atapigwa na RPG?Amejichanganya sana kuongea hadharani kauli hiyo ambayo ndio itachochea zaidi inda dhidi yake......kwa sasa watamchimba sana na kumtaka aeleze kwanini wakati mtangulizi wake yuko mahututi anaumwa yeye alianza ziara mikoani? Kwanini hakurejea haraka Dar kuthibitisha taarifa za kifo alichopewa usiku ndio atangaze?
"Carrot or Stick leadership style won't help anything in the forthcoming political battle-field
Huu ni uongo, kama anataka kuweka tozo sawa ilikuwaje akasaini ule muswada? Hakuusoma?Kwenye swala la tozo limetugusa wengi mkuu,, lakini naimani nae uyu mama ipo cku ataliweka sawa,,, na uzuli pesa zinazokusanywa za tozo zinawekwa wazi na zinaenda kwenye miradi. Kuusu kupanda bei zsa mafuta navojua mimi mkuu ni duniani kote na co Tanzania tu. Unazani nani anapenda vitu/bidhaa zipande bei!!! Hali ngumu sana,, na corona ndiyo imesababisha vitu kupanda bei, moja wapo mafuta.
Urais Ni raha Sana, jiwe mwenyewe alikuaga anazuga eti kazi hii Ni ngumu Sana mpk najuta. Ulipofika Muda wa kampeni ye ndo wa Kwanza kupiga magoti akiomba kura.Miezi sita tu ameshaanza kutamani kusalia madarakani,uraisi raha jameni.
Kwani kipindi cha kampeni tayari?
Katiba ipi na kifungu kipi?!!..Yeye alikua Makumu wa Raisi/amekuja kuwa Raisi Kwa Mujibu wa Katiba!!..2025 anagombea rasmi!!.. anaweza kuongoza for 14 Years kama akipenda na chama kikiona inapendeza!!
Na akishakitwaa hicho kimoja tozo zitaisha kabisa,zahanati zitajengwa kila sehemu na sukari itashuka Bei nchi.SafiMama akigombea ushindi wake utakuwa wa kishindo cha kihistoria. Ataanzia pale magufuli alipoishia. Sasa yeye anatakiwa akwangue hata kile kimoja kiti walichobahatisha huku bara wale majamaa
kiti cha urais hakika ni kitamu sana lkn kuendeleea kuwa na ccm madarakani mpk 2030 litakuwa kosa kubwa tutarajie zaidi kuongezeka kwa tozo kila mahaliRais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
Strength of woman shaggy alishasema..nina imani na mama. Hayo yote uliyosema yatawezekana iwapo tutachapa kazi katika sekta zote kuongeza tija na pato la taifa. Mama atatoa uongozi na dira jinsi ya kufikia hayo matamanio ya nchiNa akishakitwaa hicho kimoja tozo zitaisha kabisa,zahanati zitajengwa kila sehemu na sukari itashuka Bei nchi.Safi
Mama ake Nani?Strength of woman shaggy alishasema..nina imani na mama. Hayo yote uliyosema yatawezekana iwapo tutachapa kazi katika sekta zote kuongeza tija na pato la taifa. Mama atatoa uongozi na dira jinsi ya kufikia hayo matamanio ya nchi
Mama wa watz wote bara na visiwani. Mnyenyekevu. Msikivu. Mpole. Muungwana. Mungu atupe nini tenaMama ake Nani?
Ni baraka.Nini maana ya neno Kudra?? Ni ufurahio au?
Sio yeye tu hata huyu anamuendesha bi mkubwa, hataki kuitwa mstaafuUrais Ni raha Sana,jiwe mwenyewe alikuaga anazuga eti kazi hii Ni ngumu Sana mpk najuta.Ulipofika Muda wa kampeni ye ndo wa Kwanza kupiga magoti akiomba kura.