Mama Edina JF-Expert Member Joined Dec 18, 2022 Posts 850 Reaction score 2,019 Sep 23, 2023 #1 Mara baada ya kumuondoa maharage wapambe wake wanazima umeme na maji hayasukumwi kwa baadhi wa wananchi. Kisimngizio pressure/msukumo mdg? Kinyerezi Kanga ipo sintofaham wanakuhujumu mh rais ili Uonekane hufai, hawasambazi maji wanayafunga makusudi wanadai msukumo mdogo. Watanzania wa ajab sana. Kiufupi wanataka usiaminike. Waondoe dawasa kinyerezi Wala rushwa. Aweso kama upo liangalie hili kabla ya mama
Mara baada ya kumuondoa maharage wapambe wake wanazima umeme na maji hayasukumwi kwa baadhi wa wananchi. Kisimngizio pressure/msukumo mdg? Kinyerezi Kanga ipo sintofaham wanakuhujumu mh rais ili Uonekane hufai, hawasambazi maji wanayafunga makusudi wanadai msukumo mdogo. Watanzania wa ajab sana. Kiufupi wanataka usiaminike. Waondoe dawasa kinyerezi Wala rushwa. Aweso kama upo liangalie hili kabla ya mama