Rais Samia Watalii na Uwekezaji unaojivunia hautakuwepo kama Usalama wa nchi ni wa kusuasua. Vijembe havisadii unazidi kubomoa

Hii nchi chini ya utawala wa Ccm imesha laanika,
Hawajielewi.
Wewe ni wapi ulimuona rais akiwapa vijembe walio mwajiri tena kwa kiburi na dharau. Utadhani ana imbisha taarabu
 
Heeheeehee kujiteka? Uko serious kabisa Mkuu? Ni kesi ngapi mpaka sasa kati ya nyingi zilitoka kwa umma zilithibitika walikuwa wamejiteka?

Na hii kwa maoni yako inatosha kupuuzia mengine yote?

Hizo nchi nyingine unafikiri wanaofanya pranks na matukio ya 'kujiteka' hayatokei? Lakini wamepuuzia matukio mengine na kutochukua hatua yoyote?
 
Hii nchi chini ya utawala wa Ccm imesha laanika,
Hawajielewi.
Wewe ni wapi ulimuona rais akiwapa vijembe walio mwajiri tena kwa kiburi na dharau. Utadhani ana imbisha taarabu
Ni huzuni, ni bora angekua anatoa vijembe lakini utekelezaji unafanyika na watu hawa wanakamatwa, vijembe inaweza ikawa udhaifu wake lakini kutoa vijembe na kutofanya kitu hii inatoa picha nyingine
 
Mungu apishie mbali haya tunayoongea yasitukute. Mungu awafanyie wepesi wote waliokutwa na majanga haya.

Siasa mbaya za Mbowe na baadhi ya viongozi wa CCM za kuhubiri chuki zinatengeneza uhalisia huu wa kutisha kwa baadhi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…