Rais Samia, ya sirini yabaki sirini na ya hadharani yabaki hadharani. Wezi walisomwa hadharani watumbue hadharani

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Yaani mkaguzi alikagua na kukupatia ripoti ya ukaguzi iliyoshiba Kila aina ubadhilifu, na mkaguzi aliyasemayote mbele yako nasi wanaanchi tukifatilia mubashara.

Leo tunasikia yakuwa unachunguza tena? Wanaochunguza nmeambiwa ni vijana wetu wa idarani ambao nao Wana watu wao wanausika katika wizi huo wadhan nini kitajili huko?

Kwakuwa wezi walitajwa hadharani vyema nawe uwapasue hadharani.
 
Kuna siku baba wa jirani alipiga kichapo na maneno kibao nyumbani kwake kisa hela yake imepotea. Sasa kurudi mama baba akamuelezea mother house kama watoto wame muibia. Mama akasema yeye alichukuwa ile hela kwa matumizi ya mbogamboga ya nyumbani. Baba akanyamaza kimya watoto wamebakia kutoa mimacho tu, na kichapo kimewapata kumbe hela kachukuwa mama.(wazee wanajuana wanavyo chukuwa hela zao)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…