Rais Samia yuko wapi?

Wewe unaona mafuta hakuna , sasa unataka alale badala ya kuhemea chakula cha Wana Tz
 
Usiwe na wasiwasi kaenda kutalii na kututafutia fursa watanzania
 
Hoja yako imekosa busara sana. Suala la mwanamke na uongozi linakujaje? Huyu ni Rais wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu usimwite majina yasiyo na heshima ndugu. 🙏🙏🙏
Na hiyo ndio yako mtaani huku. Watu hawajawahi Amini kiongozi mwanamke. Na hawataki kusikia huyo Rais wako. Sasa ukweli ukisemwa muwe mnauchukua na kuuzingatia.
 
Nchi imemshinda tayari, alifikiri kuongoza nchi ni kuimba ngonjera tu
 
Marais wa siku hizi wanapenda sana ku-trend, ndo maana wakikaa kimya kidogo lazima mtu ahoji.

Mama yupo, utamuona mda si mrefu.
 
UNAKUMBUKA TULIPO ULIZA MAGUFULI YUPO WAPI WALIVYOTUJIBU?
 
Kusema kama mwanamke wa kiswahili nini maana yake ? Yaani nyie CHADEMA ni watovu wa adabu kabisa ,mnaidharau jamii ya wanawake hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…