Samia amemwachia nchi Dr. Mpango amekwenda kuzurula Dubai!Ndg zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia amemwachia nchi Dr. Mpango amekwenda kuzurula Dubai!Ndg zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana
Wewe unaona mafuta hakuna , sasa unataka alale badala ya kuhemea chakula cha Wana TzNdg zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani rais ana likizo? Na km ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la urais? Bado anafanya mambo km wanawake wa kiswahili? Km ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30. Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo. Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na waziri wa afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Usiwe na wasiwasi kaenda kutalii na kututafutia fursa watanzaniaNdg zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani rais ana likizo? Na km ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la urais? Bado anafanya mambo km wanawake wa kiswahili? Km ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30. Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo. Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na waziri wa afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Swali lilikuwa zuri sana ila changamoto na majibu yametolewaJaribu kuandika Vizuri Mkuu
Na hiyo ndio yako mtaani huku. Watu hawajawahi Amini kiongozi mwanamke. Na hawataki kusikia huyo Rais wako. Sasa ukweli ukisemwa muwe mnauchukua na kuuzingatia.Hoja yako imekosa busara sana. Suala la mwanamke na uongozi linakujaje? Huyu ni Rais wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu usimwite majina yasiyo na heshima ndugu. 🙏🙏🙏
Kazi kweli kweliMafuta nayo yakiongezeka bei lawama mnampa raisi?.Kwani Tanzania tuna visima vya mafuta.
Kutafuta mafuta huko yanakotokaga kwa waarabu wa UARABUNI 😅😅🙏🙏🙏Samia amemwachia nchi Dr. Mpango amekwenda kuzurula Dubai!
Sidhani kama hili NDIO jibuKwani anakuaga wapi?
Nchi imemshinda tayari, alifikiri kuongoza nchi ni kuimba ngonjera tuNdg zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani rais ana likizo? Na km ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la urais? Bado anafanya mambo km wanawake wa kiswahili? Km ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30. Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo. Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na waziri wa afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
UNAKUMBUKA TULIPO ULIZA MAGUFULI YUPO WAPI WALIVYOTUJIBU?Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?
Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.
Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.
Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Naona ccm kama wanatamani wangehamisha hii 88 toka mbeya waipeleke hata ruvuma 😀Nimeona humu jamii forum atakuwa mgeni rasmi siku ya kilele cha sikukuu ya wakulima nanenane Mbeya.