Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Kuitwa mwanamke ni kukesewa heshima? Ulitaka aitwe mwanaume?Hoja yako imekosa busara sana. Suala la mwanamke na uongozi linakujaje? Huyu ni Rais wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu usimwite majina yasiyo na heshima ndugu. [emoji120][emoji120][emoji120]
Ameenda kumsalimi mjomba yakheeeeNdugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?
Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.
Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.
Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Isije ikawa yale yaleeee,ilianza hivi hivi mara paaap Mola katoa hukumu yakeNdugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?
Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.
Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.
Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Presha imepanda alizani itakuwa siri kuwauza watanganyika kwa waarabu ili wampatie fedha za kuhadaa mazuzu wakati wa kampeni. Usaliti haujawahi muacha mtu salama ni dhambi mbaya sana.Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?
Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.
Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.
Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Kuna watu watakuja kukubishia.Wanawake hawafai kuongoza ni asilimia chache sana kulinganisha na wanaume
Wanawake hawajiamini kabisa kabisa
Hawana uwezo wa kuwa waamuzi wa mwisho
Umemsoma alichokiandika? Siwezi kunukuu ukosefu wa adabu sitakuwa tofauti na aliyeandika. Angalia amemchora mwanamke ktk mantiki gani...🙏🙏🙏Kuitwa mwanamke ni kukesewa heshima? Ulitaka aitwe mwanaume?
Kwamba wodi zimefungwa kisa hakuna dawa? You must be crazy 😧😧😧😧!!!!Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?
Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.
Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.
Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Duh!Kilichofuatia ni kuvaa Kaniki na Katambuga za matairi hali ilipokuwa ngumu zaidi akang'atuka!
Mama kumbuka ndio kiongozi wa kwanza alokuongoza ulipozaliwa mkuu wanawake wangekuwa hawafai angekuongoza kutenda mabaya pengine usingekuwa hapa leo ulivyo ,wapo wanawake wanaweza wakiwezeshwaWanawake hawafai kuongoza ni asilimia chache sana kulinganisha na wanaume
Wanawake hawajiamini kabisa kabisa
Hawana uwezo wa kuwa waamuzi wa mwisho
Inferiority Complex.Kusema kama mwanamke wa kiswahili nini maana yake ? Yaani nyie CHADEMA ni watovu wa adabu kabisa ,mnaidharau jamii ya wanawake hapo.
Kwani mtu si anaweza akapona na ghafla akazidiwa na kufa?Tena wewe ndiye mwongo mkubwa. Wakati wa Magufuli nakumbuka ilikuja na uongo kuwa Magufuli ameshapona ni mzima wakati tulikuwa na taarifa anaumwa taabani.
Wivu tu.Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?
Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.
Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.
Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
baada ya kazi ngumu muhimu snNae ni binadamu huwa anachoka, yupo mapumziko
Tulia kama tulia ANdugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?
Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.
Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.
Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Kipindi unasema amepona mimi nilikuwa na mtu wa uhakika aliniambia hakuna mategemeo. Uliongopa!Kwani mtu si anaweza akapona na ghafla akazidiwa na kufa?