Rais Samia yuko wapi?

Rais Samia yuko wapi?

Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?

Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.

Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.

Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Ameenda kumsalimi mjomba yakheeee
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?

Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.

Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.

Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Isije ikawa yale yaleeee,ilianza hivi hivi mara paaap Mola katoa hukumu yake
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?

Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.

Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.

Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Presha imepanda alizani itakuwa siri kuwauza watanganyika kwa waarabu ili wampatie fedha za kuhadaa mazuzu wakati wa kampeni. Usaliti haujawahi muacha mtu salama ni dhambi mbaya sana.

Angekuwa na busara angeng'atuka tuu kulinda kaheshima kadogo kalikobakia ila uroho wa madaraka atajifanya haoni soni mpka Watanganyika wamtupie virago.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?

Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.

Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.

Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Kwamba wodi zimefungwa kisa hakuna dawa? You must be crazy 😧😧😧😧!!!!
 
Wanawake hawafai kuongoza ni asilimia chache sana kulinganisha na wanaume
Wanawake hawajiamini kabisa kabisa
Hawana uwezo wa kuwa waamuzi wa mwisho
Mama kumbuka ndio kiongozi wa kwanza alokuongoza ulipozaliwa mkuu wanawake wangekuwa hawafai angekuongoza kutenda mabaya pengine usingekuwa hapa leo ulivyo ,wapo wanawake wanaweza wakiwezeshwa
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?

Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.

Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.

Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Wivu tu.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?

Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.

Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.

Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Tulia kama tulia A
 
Madam President atakuwa Likizo, si unajua upepo wa Bandari hauvumi vizuri upande wa Magogoni.

Msubirie kumwona Jumanne Ijayo wakati wa kilele cha Sikukuu ya Wakulima pale Mbeya.
 
Back
Top Bottom